Recent content by Huu Champions

  1. H

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal jitaidini mchukue Carabao Cup. Lasivyo mtatoka mikono mitupu msimu huu pia.
  2. H

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Akizidii sana moja na nusu. Bisha na hii sasa
  3. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jamaa alijibu kikubwa sana. 🤣🤣🤣
  4. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣
  5. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kabisaaaa tena wasituchoshe na mipasha yao ya kila siku. Sisi shida yetu point 3 na kurudi nyumbani yaani UEFA Champion League tumepamisi sana......msimu mmoja bila kucheza UEFA ni sawa sawa na Miaka kumi kwa Chelsea kutocheza UEFA
  6. H

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    KWenye mpira mi mkongwe wewe.....
  7. H

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hakuna uongo hapo jamaa. Wewe thibitisha kwa takwim full stop
  8. H

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mimi nimeleta Data. Nawe ulitakiwa ulete uthibitisho wako kwa maandishi kama nilivyoleta. Research hupingwa kwa research🤣🤣🤣🤣
  9. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wewe wasiwasi wako nini? Mbona unaogonza ligi na hatusemi?
  10. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kijana Hazard ulipotea wapi ndugu yangu? Tangu uende Real Madrid umestafu na kustafu ee. Karibu tena jukwaani. Chelsea sasa ni ya moto. Jana nilikuwa na ofu juu ya gemu yetu ila nilichokishuhudia uwanjani inanipa matumaini makubwa kabisa. Vijana wamechangamka kuna kitu wanataka msimu huu
  11. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hakika.
  12. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    💯🤝
  13. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Inapobidi inatakiwa iwe ivo. Aiseee manake kwenye benchi walikwepo madogo tu
  14. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kabisa aisee
  15. H

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Duuuu hatari
Back
Top Bottom