yah inawezekan sabab wale wa mwak jana na wachache wa mwak juz hawaajiriwa kwa hiyo hawawez kujaza watu bila sababu..
kinachosubiriwa muda ufike warudishwe hom na watakaobahatik bas waajiriwe..
ila ukiangalia huu mwaka ni mgumu sana kwa sababu,UHAMIAJI NAFASI ZOTE WAMECHUKUA URAIANI,POLISI NAO...
Pole jombaa endelea kuomba mungu.....ila kam unauwez nenda chuo cha bandar.au veta usom koz zenye practical utapat kaz harak kulik kung'ang'an na hiy digrii ya according....
polen sana ndugu zang....ILA NASHAUR WADOGO ZENU MUWAONGOZE VYEMA WASIKOSEE KAMA NYINYI....DIGRII YA TZ NI TAKATAKA TU BRO COZ ZOTE ZIMEKAA KAIMAGUMASH NA NDIO MAANA WENYEW SERIKAL HUTIBIW NJE...MAINJINIA HUCHUKUA NJE....WADOG ZENU MSIWASHAUR KUKIMBILIA KOZ ZA DIGRII HIZO ILA WASOM COZ ZENYE...
Mtot wa kijij ni balaa ndo maan jesh la polis linakos maadili....mtu kasom kadigri kake na tz mtu akipat digri ye ndo anajifanya anajua yote unadhan kuna nin hapo
MSOMI NA BUNDUKI WAP NA WAP....KAM C KUINGIZA MATATIZ TU KTK POLIC....MTU ASHASUGUA 3yearz ANATAFUTA DIGREE ALAF UNAMWAMBIA AKALINDE BANK... DIGRI ZA BONGO BAN....SOMEN COZ ZENYE DIRECT PRACTICAL SKILLZ HUWEZ HAKANGAIK AJIRA ATA SIKU.MOJA...TATIZ MNAKIMBILIA DIGRII WAKAT COZ ZA DIGRII ZOTE BONG...
wa kusin LINDI ndo hampo mbona kimya tuwasiliane aliye mkuranga..ikwiriri ..dar es salaam ana anataka kurudi lindi namba ni 0756502249 ..1998suley@gmail.com
bro kuna errar tu ila watu hawafiki elfu kumi..pia usidhan kam ktk jesh kuna kua na ugum wa kupat watu..kwanz hawatafik wot walioitw..pil vipimo vitakwamish watu ukizngatia umaskin hulet afya mbov na hat weny ela ulish watot wao vyakula vya kizemb..tatu mavaz yatawanyim watu nafas.. We nenda iyo...
mjomba husipotoshe..uvungu ni muhim tena sana..kule huvai sendo ujue...na ukipitishw kwa kubebw na uvung huna shuhur yake utaiyon hakuna atakaejal kua unaumw miguu maan wanaamin ulipimwa vyote
makovu hayatakiw utajisababishia matatiz ...kaka usilete masiala na depo bro..kule waalim wanasain kuw wamepokea watu wazim kiafya na wanakidhi vigez so ukifa mazoezin wao hawausik na hawan hurum.
Kam una makov tafut job ingine kaka nchi inalingwa kwa jesh imara
ukitaka kujua una uvungu wa mguu mwaga maj katik tope kanyag alaf toa mguu..ukionekan wote huna uvungu na kam ukioneka nusu yaan sehem ya kat kwa ndan isipoonekan inamaan una uvung.. Ukikosa uvungu huwezi kupita ingawa wapo wanaofany udanganyif ila ni hatar sana maana unawez kuoza miguu na...
kaka cjapit JKT ila utaratib wa majesh unaelewek kwan hat izo nafas zimeanz kutangazw JKT znazobak ndo wanalet uraian..wa JKT ana 75% ya kupata nafas. Pia huy wa jkt anafany nin mtaan kwanz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.