Recent content by Hunk Man

  1. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu matokeo ya TRA tujiandae kisaikolojia

    Hakuna mtihani uliovuja hasha waliotunga NBAA paper haivuji wale jamaa
  2. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu matokeo ya TRA tujiandae kisaikolojia

    Ile pape hasha la TMO na ECONOMIST imetuchanganya kweli
  3. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Changamoto katika mfumo wa ajira jeshi la Zimamoto

    Mbona sioni sehemu ya kuattach fomu kutoka mganga mkuu
  4. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

    Kuna jamaa alinishawishi nijiunge nilimshangaa kweli mpaka nikampotezea
  5. Hunk Man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba?

    Hata mimi nafikiria kufanya maamuzi hayo lakini sijatoa mahali wala sijamvalisha pete ya uchumba
  6. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Siku zote wanaofaidi ni mabosi kwenye kila taasisi
  7. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Nimeitwa interview Mkwawa leaf tobacco kama store clerk

    Umeitwa ya Kahama au?
  8. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Nilichomfanyia Bosi wangu hatakuja kusahau mpaka kifo chake

    Mabosi huwa wanazingua kweli hujawah kukutana na mabosi wa ajabu
  9. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaohusika na haki za waajiliwa ni Taasisi ipi?

    Nenda Ofisi ya Commission for Mediation and Arbitration (CMA) iliyopo karibu yako kwa ajili ya kupata haki zako
  10. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Duuuuh hii ni balaa
  11. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Hii si imefutwa na OTR?
  12. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Korean _Kiswahili translator anahitajika

    Ongeza Ahjumma na Ahjushi
  13. Hunk Man

    JamiiForums Tanzania Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

    Inategemea na Halmashauri ipi inafanya kaz maana kuna Halmashauri nyngne Watumishi zao wana maisha mazuri kwa sababu wanakudanya mapato mengi mno
Back
Top Bottom