Ila wanawake wengi ndoa ndio malengo yao makubwa, sasa akifikisha 30 bila ndoa Anamosa furaha hata awe ana miliki nini. Pia changamoto nyingine kwao population ya wanaume sio kubwa kama yao.
RPC wa Geita anaoneka mstaarabu sana na mtulivu akizungumza kwenye TV, system inaweza ikampromote au huyo Mama Kaganda kama wengi wanavyosema au achukuliwe mtu wa jwtz kwasababu jwtz hawana ubabaishaji.
Hiyo miezi ni michache sana. Haifai kuharakisha kama uko mwangalifu na future yako. Marehemu mchungaji Mitimingi Kwenye moja ya clip zake alisema "mwanamke na mwanaume wanapoingia Kwenye ndoa, ni mwanaume ndio ana nafasi kubwa ya kufanikiwa au kuharibikiwa ktk maisha".
Katika marpc wote wa sasa, rpc ninayemuona ana busara ni rpc wa Geita, Henry Mwaibambe. Hata akizungumza anakuwa na utulivu. Ila kama vipi bora igp mpya achukuliwe kutoka jwtz.
Inasemekana pia kina mama wanawapenda zaidi watoto wao wa kiume kuliko wa kike ingawa nadhani kwenye kuzaa ni kama vile wanapenda wajifungue watoto wa kike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.