Vipi ukimpa Mkataba akakaa, baada ya muda fulani tuseme mwaka... Akaamua kuondoka tuseme bila kukuaga? Unambanaje hapo?
Huo Mkataba wa kumbana unamlazimisha yeye kuweka kitu/kipengele kinachombana asiondoka bila taarifa?
Habari za muda wakuu!
Hivi ukiwa umesajili kampuni... mfano ya Mambo ya Mambo ya nafaka, ukawa umeweka DSM kama makao makuu. Sasa baadae katika kuanza kazi... Ukatamani uifanyie sehemu nyingine tuseme Mbeya.
Je, natakiwa kufanyaje ili nisivunje sheria za nchi? Leseni nachukua ya BRELA au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.