Recent content by Humary

  1. Humary

    JamiiForums Tanzania Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    Hivi kati ya Temeke na Ilala (toa city centre) wapi kuna afadhali ya makazi
  2. Humary

    JamiiForums Tanzania Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    Vipi kuhusu chang'ombe
  3. Humary

    JamiiForums Tanzania Nape: Ukusanyaji wa kodi ni taaluma ila Serikali imeacha kutumia wenye taaluma inatumia task force ambao kazi yao ni kuua biashara tu

    Kwani task force ndio TRA... Kwa sasa kodi inakusanywa na taasisi nyingi, nafikiri ndizo zilizomaanishwa hapo
  4. Humary

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wenzangu wananiita braza wakati wengine kiumri ni wakubwa zaidi?

    Brother unaweza kuwa young brother au big brother... As longer as wa kiume wewe ni brother
  5. Humary

    JamiiForums Tanzania Tuweke kumbukumbu sawa, Bethlehem alikozaliwa Yesu sio Israel, ni Palestine

    Kila zikifika sikukuu za kikristo kuna watu lazima walete majibishano ya kidini.. Mbona sikukuu za kiislamu hakunaga hizi mambo.. Mtuache
  6. Humary

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya viwanja, vyumba, nyumba za kupanga na maofisi, magodowns, mashamba, nicheki nikutafutie popote Tanzania

    Mkuu vipi chumba na sebule maeneo ya ubungo terminal Kwa bajeti ya 100-150k naweza kupata..?
  7. Humary

    JamiiForums Tanzania Majina 400 ya Vijana waliofaulu Usahili wa TRA

    Kuanzia wiki ijayo
  8. Humary

    JamiiForums Tanzania TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Nahisi TCU wanadeal na vyuo vinavyotoa degree au kuna kinachotoa degree kati ya hivyo ulivyotaja? Maana NACTE ndio najua wanadeal na hivyo vyuo vinavyotoa diploma na certificate
  9. Humary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar vs Lagos

    Kulingana na maelezo yako basi Lagos ni zaidi ya Nairobi na hata Jozi
  10. Humary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar vs Lagos

    Kaka kwani population ikiwa kubwa ndio kiashiria cha maendeleo?
  11. Humary

    JamiiForums Tanzania Wimbi la wasanii kuvaa lens za macho ya Paka, nini maana yake?

    Hizo ni contact lenses, zipo zinazovaliwa kwa ajili ya urembo na nyingine kwa ajili ya kumsaidia mtu mwenye matatizo ya macho aone vizuri Sio wote wanavaa kwa ajili ya urembo, tusije tukadharauliana.
  12. Humary

    JamiiForums Tanzania Msanii Msaga Sumu anavyoimba Mwanaume ' mashine ' anamaanisha nini?

    Mashine ni kitu chochote kinachorahisisha kazi.. Sifa ya mwanaume ni kufanya kazi kama mashine
Back
Top Bottom