Hakuna elimu yoyte sungusungu lakin pia swala la sungusungu halipo kisheria kwa sasa lilifutwa miaka ya 1992-1994
Na hii ni baada ya sungusungu wengi kuwa chanzo cha matatizo kwenye Jamii Zao.
Kesi lazima Ukutane Haitokuwa Ya Uhujumu uchumi bali Ya Madai Ambayo inaweza simama pia kama jinai.. Na kama isemavyo sheria ya madai inatoa Haki ya Mahakama kukamata mali za Mdaawa Ili kulipa Deni Hivyo Mkopo utalipwa kwa mali zako kukamatwa mafano wa mali zinazoweza kukumatwa ni hyo phamacy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.