Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,007
- 1,600
- Thread starter
- #21
Hii ni hatari sanaAchana na hao sungusungu kutokuwa na elimu ya ulinzi ila hata wajumbe wa mitaa ni wengi wao ni sifuri kwenye elimu ya ulinzi
Hii ni hatari sanaAchana na hao sungusungu kutokuwa na elimu ya ulinzi ila hata wajumbe wa mitaa ni wengi wao ni sifuri kwenye elimu ya ulinzi
Kwanini hukumpa mkuu?.Waganga njaa
Kuna mmoja moro aliniomba buku ya kiroba
AiseWakati wa kudai fedha zao wanakuwa kweli, lakini unapona two na janga la kuibiwa wanakukwepa mazima.
Kuna umhimu wakapitia mafunzo ya mgambo na kuwa katika mfumo rasmi
Acha hizo mkuu mshana ainata ww ukiambiwa wafundishe utawafundisha.Hao wa kutoa hiyo elimu sasa
Walinde tu, huo ndio ulinzi shirikishi.Husika na mada tajwa hapo juu.
Ndugu wana Jf je hawa ndugu zetu sungusungu wana elimu ya ulinzi wa mitaa na usalama wa mali za raia.
Je, uwepo wao unatambulika kikatiba?
Naomba kuwasilisha ili tuweze kulijadili.
Karibu sana.
Nitalinda mkuu ila tupewe elimu ya ulinzi shirikishi.Wewe kama hutaki kulinda changia tu Mkuu,
Na ukiingia kwenye 18 zao wazingue, hapo ndio utajua wamepitia mafunzo ama vipi...
Kwani kuna ujira mkuu?.Walinde tu, huo ndio ulinzi shirikishi.
Kuna mitaa wanapata posho wanazochangiwa na wakazi husika.Kwani kuna ujira mkuu?.
Sungusungu malipo yao ni kidogo sana mtu mwenye mafunzo ya mgambo atahitaji awe recruited na security company inayolipa vizuri.Kuna umhimu wakapitia mafunzo ya mgambo na kuwa katika mfumo rasmi
Nadhani hawana, japo hawalalamikiwi Sana nawananchi Kama wale walinzi wenye elimu rasmi.Husika na mada tajwa hapo juu.
Ndugu wana Jf je hawa ndugu zetu sungusungu wana elimu ya ulinzi wa mitaa na usalama wa mali za raia.
Je, uwepo wao unatambulika kikatiba?
Naomba kuwasilisha ili tuweze kulijadili.
Karibu sana.
Wanalipwa kila mwisho wa mweziKwanini hukumpa mkuu?.
Kuna polisi jamii na sungusunguKuna umhimu wakapitia mafunzo ya mgambo na kuwa katika mfumo rasmi