Kumbuka kuna uchaguzi pale U.K na kuna hati hati pro EU wakashinda so unaweza ukawa ni mpango maalum ili pro Brexit wapate nguvu rejea shambulio lililotokea France siku tatu kabla uchaguzi lengo lilikuwa kumfavor Le pen ila watu wakasanda
Hana lolote ni mbaguzi tu na wabaguzi ni watu walioathirika kisaikolojia na ndio maana hawashindi huku ulaya ukimfanyia mtu kitendo cha ubaguzi mbele ya watu utajuta kuzaliwa jinsi utakavyozodolewa na ikibidi kuitiwa polisi na wazungu haohao
Nnachomkubali jamaa pro business na ana nia ya kuibadilisha France kuwa nchi ya kibiashara zaidi kwa kuvutia uwekezaji na kuthibitisha hili amechukua hatua ya kupunguza kiwango cha kodi kutoka asilimia 35% mpaka 25% ili kuvutia wawekezaji mabenki na makampuni na ndio maana waingereza sasa hivi...
Kweli kabisa hilo ni tatizo la watu wengi ambao marekani ndio inakuwa nchi yao ya kwanza kufika wanaona hakuna nchi kama ile ila ukweli ni kwamba serikali za nchi za ulaya Australia na Canada ziko juu sana kwenye nyanja nyingi kihuduma kwa wananchi wao kuliko U.S
Wamarekani wamezidi ubepari yani U.S ndio kwenye reality ya Capitalism ndio Maana always nawakubali wafaransa when it comes to social services they are the best
Hivi Obamacare ina ubaya gani? mbona inachukuliwa na Trump kuifuta ni kama ukombozi flani ningependa mtu yeyote mwenye kuelewa kiundani anieleweshe pls.
Maana nnavyojua huku ulaya huduma ya afya ni bure kila mtu lazima awe na bima ya afya nashangaa inakuaje ni kitu kibaya kwa U.S
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.