Recent content by Hudhaifa1

  1. H

    JamiiForums Tanzania Biashara ya maharage

    😂😂 Ila maswali mengine 😂 haya ni mizani ya serikali ya magari makubwa
  2. H

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    😂😂😂 huu ni uongo kabsa kwa engine ya boxer huwez toka Dar alfajiri ufike shinyanga sa 1 jion never never mzee acha kutupanga
  3. H

    JamiiForums Tanzania Uislamu na tamaduni za Kikureshi(Kiarabu)

    😂😂 unatumia nguvu kubwa sana kusambaza uongo ..
  4. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

    😂😂 iyo ya kusema elimu ni Ufunguo wa maisha hiyo ni dhana ya kipindi icho cha zamani ambapo hakukua na wasomi Kwaiyo ilikua mtu ukiingia tu darasani ukitoboa vizuri bas we kazi tayari unayo na umeshatoboa kimaisha lakini sio kwa sasa mzee
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niliwahi kuwa changudoa: Kileleni haihitaji baunsa wala tolu

    [emoji23][emoji23] eti uko occupied tayar
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    [emoji23][emoji23] utabaki na Upumbavu wako huohuo! Kwwhiyo Huyo mungu wako ndo aliezaliwa kwenye zizi la ngombe na ndo aliyesulubiwa sio ?
  7. H

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki yangu Hunter DEC na eneo la carwash

    Hauweki namba ya cm Kwaio tunakupataje?
  8. H

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji angalau milioni 2 njoo tupambane na ufundi simu na electronic na kuuza accessories mbalimbali

    Iyo noma sana nlkua na iyo idea mwaka jana kipindi nakimbizana kkoo
  9. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

    Bila shaka ulikua TIA kaka
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mliomuibia mdogo wangu magunia 70 ya mahindi Singida rudisheni tafadhali

    Dogo kakupiga apo Amna namna
  11. H

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani ya kupata ajira TRA

    Habari za wakati huu wana wa JamiiForums ? Kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku ya leo ya mwisho wa mwaka tukiwa wazima wa afya na wale wenye maradhi na matatizo mbalimbali basi tunaomba mungu aweze kuwafanyia wepesi na kuwaponya. Mada yangu ya leo naomba naomba kujua kwa...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kwa taarifa yako Israel limetajwa mara 2200 ndani ya Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

    [emoji23][emoji23] kuna watu huwa wapumbavu na mnakurupuka tu sasa kujifanya mnasupport Israel wakat hao waisrael wenyew walimkataa huyo yesu wenu wakamsulubu SHAME ON YOU
  13. H

    JamiiForums Tanzania Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

    Embu tutumie picha ya instagram na ya izo ulizonunua
  14. H

    JamiiForums Tanzania Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

    Quality inatofautiana kaka izo ulizonunua azitoboi mwezi
Back
Top Bottom