Unaweza kupima allege au dalili na viashiria vinavyojitokeza baada ya kuvuta dawa hizo inaweza kuwasha ngozi mafua current ,kikohozi ,kichwa kuuma ,au kifua kubana nasema hivi kwa kuwa mimi ni muathirika wa dawa hizo
hapa naonaishu sio uume mkubwa hapa inapnekana mwanaume hajui jinsi ya kuutumia vizuri uume wake yeye anajua ni mkubwa hivyo anatakiwa asifanye kama wafanyavyo wenye maumbile yakaeaida na amjali mwenzie kuhusisna na maumivu kama atafanya bila kujsli kasoro aliyonayo hataweza kuishi na mwanamke...
Kweli jsmani hizo tuzo si zake wampe barnaba na diamond nilijiuliza sana inakuwaje ametunga nini kimasomaso tu ndo mtunzi bor nampenda kiba lkn tuwe wa kweli nimeona shoo zake kawaida sana hajamfikia diamond tena ule wimbo wa mwana dar ndio hata video haindani na alichoimba au ile ndo performance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.