juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
Nasikia sahizi anajiita john pombe Edward ngoyayi Lowassa.
Haaahaa mkuu well said,hata mimi nasikia anajiita hivo
Nasikia sahizi anajiita john pombe Edward ngoyayi Lowassa.
Edward Ngoyai Ndossi Lowassa
Najua hujui na hujui kuwa hujui! Pamoja na Swali lako kutokuwa na mashiko yoyote, kwa sababu wewe ni so incompetent kwenye hicho kitengo ulichopo, majina yake manne ni kama Ifuatavyo:
Edward Ngoyai Lowassa Ndossi, kwa Uthibitisho zaidi muulize Mwenyekiti wako wa Chama!
Nawasiliana na Makamu M/kiti na Katibu Mkuu wako ili wavunje hicho Kitengo chenu, mnakiaibisha Chama kikongwe, kama walio recruit ni JMakamba na Nape,inabidi wapelekwe Mirembe straight away!
Bora mkamwomba FaizaFoxy na Juliana Shonza wakaja kuwa train angalau!
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
WASIWASI JUU YA LOWASA:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.Mfano yule wa ccm anaitwa John Pombe Joseph Magufuli:Haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje
Ndio haswa lengo, sio mzaha unaweza sikia ile edward ngoyai mabadiliko lowassa. Hawa kina lissu walimchafua sana mzee wa watu alafu wanababaika eti ngazi za juu. Vipi wachukuliwe hatua na ikionekana wamemchafua makusudi tupa jela.anataka kujua je unamkubali kwa kumfahamu vizur au Unamkubali kwa kuwa fulani anamkubali?
wasiwasi juu ya lowasa:
Hivi wana jf walio ukawa naomba kuuliza tu swali la kizushi,maana nina wasiwasi na huyo mnayemshabikia,wengi kama fata upepo tu,inawezekana hata majina yake manne hamyajui,mnajua tu la lowasa.mfano yule wa ccm anaitwa john pombe joseph magufuli:haya na huyo wa kwenu kama kweli yupo ukawa anaejiamini hapa ataje