Congraturation kwa hatua uliyo fikia mimi pia ni mfugaji" kuhusu hayo matandiko ya kwenye banda nakushauri usipendelee kutumia maranda ya mbao ni vizuri ukatumia yale ya mchele maana nasikia kuna jinsi yanavyo athiri kwenye mfumo wa upumuaji wa kuku. Na kuhusu muda wa kuyatoa inategemea mi huwa...
Katika jamii zetu siku zote mwanaume ndo kichwa cha familia na kila familia ina principal na protocal zake lakini kwa hili hapana unakuta mwanaume ndiye m2nza mapato ya familia pekeyake na hata kama mke ana kazi ikifka mwisho wa mwezi mshahara wake wote unatengwa mezani mwanaume ndo anatunza...
Ndugu pole sana ila nakushauli kabla hujachukua maamuzi ya kuoa mwingne take time kwanza msome mwenzio yuko vip,anapendelea nini,tabia gan na hata ikibid ijue vyema ratiba yake. Maana unaweza kuta unaoa mwingine kumbe bora hata huyu wa kanisani. Yeye akawa anakesha bar,na night clubs maana...
Tatizo mi naona huwa liko kwetu mamen maana tukitongoza tunajinadi ni mataita mi nakushaur usiwe una fake maisha be realy. Kwasababu ukijifanya zipo hapo mizinga lazima2.
Kuku hupenda kutaga sehemu iliyo jificha kidogo, kwa hiyo si ajabu hapo kwenye hicho kiota wanapongangania pamejificha kuliko viota vingine. Pia jaribu kuongeza idad ya viota" kwa kuku 150 ingelbid walau uwe na viota 75. Vile vile kuhusu kuchanganya mayai nunua mark pen na uyawekee alama yale...
No haiwezekani na hii ni kutokana na umbo la kuku mwenyewe lilivyo. Kwa mfano mayai therathin ukimpatia kuku ayaatamie utaona ameweza kufunika baadhi takriban 10-15 na mengine yote kubakia nje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.