Kama uliweza kukariri masomo ya secondary ukafanya mitihani ukafaulu ukaingia chuo ukagraduate hata maswali ya interview unaweza kukariri tu. Mara nyingi maswali ya entry level huwa ni yale yale, ingia google angalia maswali ya interview ya entry level, kariri majibu. Simple
Tukifa tunaingia 4th dimension, je ipo siku na sisi tutafika 10th? Je kuna watu waliotutangulia ambao wameshafika 10th? Je huyu aliyefanya utafiti akaja na haya yote ameishuhudia mpaka 10th dimension? Tusaidie chapisho tukajisomee sie tunaopenda kujifunza mambo mapya🙏
Nimefurahi hujaweka mapenzi hapo kwenye list,
Ndoa na mapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa. Mapenzi huwa yanaisha haraka sana na ule moto unakata.
Ukiingia kwenye ndoa kwa hisia inakula kwako chap kidogo.
Jiulize kwa nini 95% ya arranged marriages zinasurvive wakati love marriages asilimia...
Wengi pia hawajaingia deep kuyasoma hayo mafundisho na kuyaelewa kiundani kwa level kama alizokuwa nazo mtumishi Moses Kulola (nimetolea mfano). So hawajui hata wafundishe nini, hata ile ufunuo wanaisoma lakini hawaielewi kwa undani ule unaotakiwa.
Ndio maana walianza kusema Pope John Paul II...
Utafiti unaonyesha pia kwamba hili ndio kundi linaongoza kwa kujiua, 15-29, sababu kubwa ni kukosa ujasiri wa kushirikisha watu wengine matatizo yao. Naunga mkono hoja ya anonymous, wengi watasaidika
Kama form four wa 2025 wamepitishwa tu kimkakati, yaani wale waliokuwaga zero brain eti wamepata division 1. Halafu wamewapangia PCB, sasa sijajua form six watawapa tena division one za bure 😡😡
Yohana 11:35
[35]Yesu akalia machozi.
Mstari mfupi kuliko yote katika biblia, unatueleza kwamba Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro alilia.
Kama Yesu alilia mimi ni nani nisilie 😳, ukifiwa kisawa sawa utaelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.