Karibu mkuu, jaribu upite na masoko mengine labda utapata maoni tofauti. Kikubwa wanasema baada ya muda yanabadilika rangi, ule unjano unapotea. Wanataka ya Kiteto na kaskazini kwa ujumla ndio yana market sana.
Mkuu nakuaminia sana kwenye mambo ya spirituality
. Naamini utakuwa umetumia vyote remote viewing na time traveling. Na mimi natamani uniangalizie jambo langu la huko mbeleni, sijui nikupateje?
Hiyo ndio sababu wanawake wanaishi miaka mingi zaidi. Kule wanaenda kutoa stress na kupewa matumaini.
Mtu ana mkopo nyumba inakaribia kuuzwa anakimbilia kwenye maombi, hiyo ni relief kubwa sana psychologically, hata nyumba ikiuzwa ataamini ni mapenzi ya Mungu.
Mwanaume ikifika hatua hiyo...
Yeah you are right, Shangazi yangu alinifundisha kwamba nguo ulizotoka nazo kuzika hutakiwi kuingia nazo ndani. Zivulie nje zifuliwe zikikauka ndio ziingie ndani. Sasa hizi nyumba za ku share compound ndio kimbembe kuvulia nguo nje🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.