Recent content by hsnaturalfertility

  1. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Be patient, tarehe 4 atakuja kukabidhi ofisi kama barua ilivyosema na kama utaratibu ulivyo.
  2. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Ila wabongo tunapenda story😆😆 We tupe kichwa cha habari tu, uone tunavyojaza gazeti la mzalendopage zote😆
  3. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Vyuo vya Sasa Vimekuwa Viwanda vya Kutoa Vyeti, Siyo Maarifa. Kuna haja gani ya kupeleka watoto vyuoni ?

    Muheshimiwa Majaliwa aliwaambia wenye degree waende VETA wakamjia juu sana.
  4. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wa Kukaribia Kifo

    Mkuu Pascal Mayalla alishapitia NDE, ila ule uzi nimeusahau. Naomba mtu autag hapa
  5. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Faida za kufanya maombi

    Maombi ni muhimu sana
  6. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mariam kijumbe: Je, waliocheza upatu huu wanaweza kurudishiwa fedha zao? Sheria imekaaje kwenye michezo hii?

    Kurudisha pesa ni yeye aamue kuwarudisha, ila kisheria wanaweza kuchemsha. Kuna mambo mengi hayajakaa sawa. Ni bora awape tu pesa zao maana anazo sio kama hana.
  7. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Abdul akawa na sauti kuliko makamo wa rais na waziri mkuu

    Kwa nini umesema hivyo mkuu? Kuna mpya gani huko?
  8. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kool & The Gang — Cherish. Mpaka leo sijaona wimbo duniani ambao ni timeless classic kuuzidi

    For as long as we both shall live........
  9. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Kama uliweza kukariri masomo ya secondary ukafanya mitihani ukafaulu ukaingia chuo ukagraduate hata maswali ya interview unaweza kukariri tu. Mara nyingi maswali ya entry level huwa ni yale yale, ingia google angalia maswali ya interview ya entry level, kariri majibu. Simple
  10. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    Pressure ya utajiri, kila mtu anataka kuendesha G-wagon 😆😆
  11. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania 10th dimension ni kielelezo cha Mungu yupo

    Tukifa tunaingia 4th dimension, je ipo siku na sisi tutafika 10th? Je kuna watu waliotutangulia ambao wameshafika 10th? Je huyu aliyefanya utafiti akaja na haya yote ameishuhudia mpaka 10th dimension? Tusaidie chapisho tukajisomee sie tunaopenda kujifunza mambo mapya🙏
  12. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Nimefurahi hujaweka mapenzi hapo kwenye list, Ndoa na mapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa. Mapenzi huwa yanaisha haraka sana na ule moto unakata. Ukiingia kwenye ndoa kwa hisia inakula kwako chap kidogo. Jiulize kwa nini 95% ya arranged marriages zinasurvive wakati love marriages asilimia...
  13. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Wengi pia hawajaingia deep kuyasoma hayo mafundisho na kuyaelewa kiundani kwa level kama alizokuwa nazo mtumishi Moses Kulola (nimetolea mfano). So hawajui hata wafundishe nini, hata ile ufunuo wanaisoma lakini hawaielewi kwa undani ule unaotakiwa. Ndio maana walianza kusema Pope John Paul II...
  14. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kifo hakisikii cheo, Mali wala umaarufu

    Zea zea inside😆
Back
Top Bottom