Recent content by hsnaturalfertility

  1. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Kama uliweza kukariri masomo ya secondary ukafanya mitihani ukafaulu ukaingia chuo ukagraduate hata maswali ya interview unaweza kukariri tu. Mara nyingi maswali ya entry level huwa ni yale yale, ingia google angalia maswali ya interview ya entry level, kariri majibu. Simple
  2. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    Pressure ya utajiri, kila mtu anataka kuendesha G-wagon 😆😆
  3. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania 10th dimension ni kielelezo cha Mungu yupo.

    Tukifa tunaingia 4th dimension, je ipo siku na sisi tutafika 10th? Je kuna watu waliotutangulia ambao wameshafika 10th? Je huyu aliyefanya utafiti akaja na haya yote ameishuhudia mpaka 10th dimension? Tusaidie chapisho tukajisomee sie tunaopenda kujifunza mambo mapya🙏
  4. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Nimefurahi hujaweka mapenzi hapo kwenye list, Ndoa na mapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa. Mapenzi huwa yanaisha haraka sana na ule moto unakata. Ukiingia kwenye ndoa kwa hisia inakula kwako chap kidogo. Jiulize kwa nini 95% ya arranged marriages zinasurvive wakati love marriages asilimia...
  5. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Wengi pia hawajaingia deep kuyasoma hayo mafundisho na kuyaelewa kiundani kwa level kama alizokuwa nazo mtumishi Moses Kulola (nimetolea mfano). So hawajui hata wafundishe nini, hata ile ufunuo wanaisoma lakini hawaielewi kwa undani ule unaotakiwa. Ndio maana walianza kusema Pope John Paul II...
  6. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kifo hakisikii cheo, Mali wala umaarufu

    Zea zea inside😆
  7. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kifo hakisikii cheo, Mali wala umaarufu

    Yaani pale mortuary ukiwa unaandaliwa na wale waoshaji ndio unagundua kumbe kiburi chetu na dharau si lolote wala chochote 😆
  8. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa ushauri kwa vijana

    Utafiti unaonyesha pia kwamba hili ndio kundi linaongoza kwa kujiua, 15-29, sababu kubwa ni kukosa ujasiri wa kushirikisha watu wengine matatizo yao. Naunga mkono hoja ya anonymous, wengi watasaidika
  9. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wasiwasi ne elimu yetu je ufaulu huu unavyozidi kuongezeka kwa kasi ina maana masomo yanazidi kuwa marahisi sana

    Kama form four wa 2025 wamepitishwa tu kimkakati, yaani wale waliokuwaga zero brain eti wamepata division 1. Halafu wamewapangia PCB, sasa sijajua form six watawapa tena division one za bure 😡😡
  10. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mnalia msibani?

    Yohana 11:35 [35]Yesu akalia machozi. Mstari mfupi kuliko yote katika biblia, unatueleza kwamba Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro alilia. Kama Yesu alilia mimi ni nani nisilie 😳, ukifiwa kisawa sawa utaelewa.
  11. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Hakuna Bilionea wa Kazi Halali, Formula ya Siri ya Utajiri Ambao Hamuambiwi popote zaidi yangu

    True, na mfano wa hayo yote ni Rostam Aziz
  12. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Japo Uchawi Upo, Wachawi Wapo na Wanaloga!, Anayeruhusu Kulogeka ni Wewe Mwenyewe!, Unaweza Kuzuia Kulogeka Kwa Imani! na Ukawa Hulogeki!.

    Kuna uchawi watu wanakuwahi ukiwa bado mdogo na huelewi chochote kinachoendelea
  13. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ashikamane na kile alichokifuata kwenye ndoa

    By the way, boxer zinatakiwa kuwa disposable, for single use only, why are people fuaring them and anikaring them for everyone to see? 😆😆😆 I wonder 😳
Back
Top Bottom