Recent content by hsnaturalfertility

  1. hsnaturalfertility

    Mjue babu wa viumbe vyote duniani

    Picha ya Babu Luca please
  2. hsnaturalfertility

    Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

    Je yeye supplier ametaka umlipe kwa njia Gani? Kwa Alipay au WeChat pay wacheki Dr cargo wako faster sana. Watakusaidia kufanya payment
  3. hsnaturalfertility

    Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Karibu mkuu, jaribu upite na masoko mengine labda utapata maoni tofauti. Kikubwa wanasema baada ya muda yanabadilika rangi, ule unjano unapotea. Wanataka ya Kiteto na kaskazini kwa ujumla ndio yana market sana.
  4. hsnaturalfertility

    Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Sasa hivi maharage ya njano toka Rukwa na Kagera wauzaji wa jumla hawataki , lakini huu utafiti nilifanya soko la Tegeta Nyuki. Sijajua kwingineko
  5. hsnaturalfertility

    Kwa Mlioangalia na Kusikia: Hii Video ni ya Kweli au AI?

    Nadhani alitaka kusema equivalent in Tsh 6,000 na 8,000 kwa lita
  6. hsnaturalfertility

    Baba wa Kambo, Mzimu wa Kambo

    Huu Uzi ulikuwa na kitu kikubwa sana, hebu tuufufueni jamani, Kuna jambo la kujifunza hapa.
  7. hsnaturalfertility

    Siri iliyoifichwa ni Hii. Mafanikio ni "Kiini Macho"! Unakimbiza Pesa Wakati Pesa ni Kivuli Tu

    Mfumo wangu wa ndani nausafishaje? Naomba maelekezo mkuu, Niko interested sana kujua🙏
  8. hsnaturalfertility

    Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Mkuu nakuaminia sana kwenye mambo ya spirituality . Naamini utakuwa umetumia vyote remote viewing na time traveling. Na mimi natamani uniangalizie jambo langu la huko mbeleni, sijui nikupateje?
  9. hsnaturalfertility

    Kwanini dini inauzika sana Kwa wanawake? Maana ndio wahanga wakubwa wa Dini

    Hiyo ndio sababu wanawake wanaishi miaka mingi zaidi. Kule wanaenda kutoa stress na kupewa matumaini. Mtu ana mkopo nyumba inakaribia kuuzwa anakimbilia kwenye maombi, hiyo ni relief kubwa sana psychologically, hata nyumba ikiuzwa ataamini ni mapenzi ya Mungu. Mwanaume ikifika hatua hiyo...
  10. hsnaturalfertility

    Ni ushirikina mkubwa au ni nini?

    Hitting the Bulls eye si shughuli ya kitoto, wacheza darts tunaelewa 🤣
  11. hsnaturalfertility

    Machache ya kuzingatia - Maalumu kwa tamaduni za kitanzania

    Yeah you are right, Shangazi yangu alinifundisha kwamba nguo ulizotoka nazo kuzika hutakiwi kuingia nazo ndani. Zivulie nje zifuliwe zikikauka ndio ziingie ndani. Sasa hizi nyumba za ku share compound ndio kimbembe kuvulia nguo nje🤣🤣🤣
  12. hsnaturalfertility

    Je kuna faida kujifunza Kichina?

    Yeah Sasa hivi kazi zipo nyingi sana za kuongea kichina. Vijana wachangamkie fursa
Back
Top Bottom