Kwa nini mnalia msibani?

Kwa nini mnalia msibani?

Sembuse ndugu na marafiki walioshibana wakisafiri na kutengana watu wanalia , ndio hiyo ya kufa na kufutika moja kwa moja mkuu?
 
Yohana 11:35
[35]Yesu akalia machozi.


Mstari mfupi kuliko yote katika biblia, unatueleza kwamba Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro alilia.
Kama Yesu alilia mimi ni nani nisilie 😳, ukifiwa kisawa sawa utaelewa.
 
Inapaswa mlii siku ya mtoto anapozaliwa, na mfurahie siku anapofairiki...
Dunia ni tambara bovu, dunia ni lukumba lukumba, dunia ina mambo...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom