Recent content by hsmyella

  1. H

    Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    naomba uwaze kusoma na sio kuwazia ngono, usipoangalia utaukwaa ndugu yangu.
  2. H

    Kiwanja kinauzwa kimepimwa kipo mbweni mpiji

    mmh hiyo bei mbona imechangamka sana na haiendani na square meter hizo?.
  3. H

    We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

    yaan wanaume wapenda umwinyi utawajua tu, kwanza nani kakwambia unyumba ndo ndoa, unamtishia mwenzio unyumba wakati kuna wengi wanatamani kumpa ila tu anajiheshimu na kukuheshimu wewe.Acheni u-selfish nyie wakaka.sasa ulivyomwambia huo unyumba wako ndo umesaidia nini? tambua kuna muda mwanamke...
  4. H

    STAR WA BONGO MOVIE SAJUKI ALIHITAJI Sh. 21M tu Kurudi INDIA kwa MATIBABU zaidi...

    jamani ni ahadi imetimia,sote tutarejea kwake.tumuombee alale pema peponi.amin
  5. H

    TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

    Jaman,nimeumia sana kusikia hz taarifa, lkn yote ni mipango ya m/mungu.R.I.P kaka yetu.
  6. H

    Shamba linauzwa limesajiliwa kwa matumizi ya makazi

    asante kwa taarifa, lkn mbona kabei kapo juu sana mkuu?
  7. H

    nauza nyumba

    Hi! wanajamii, nauza nyumba ipo mbezi luis njia panda ya makabe ni km 1.3 kutoka morogoro road, ina vyumba 4 kimoja master, public toilet, jiko, stoo, bado finishing kidogo. kiwanja kinaukubwa wa sqm 650.bei yake ni mil 90.kwa mawasiliano nipigie 0767146448.mimi ndiye mmiliki wa nyumba.Bei...
Back
Top Bottom