Recent content by hs billionaire

  1. hs billionaire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Chicu popote pale ulipo tambua tu kuwa 😂😂😂.... Anyway ngoja niende kwenye kampeni
  2. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Nahitaji vifaranga chotara 1000

    Acha nongwa, hata kama ni jina lako. Nimekuambia nina uhitaji wa idadi hio kama unao nipe namba tufanye biashara
  3. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Nahitaji vifaranga chotara 1000

    Wanavyo ila kwa sasa wamebadilisha mfumo,ukinunua vifaranga ni lazima na chakula ununue hapo
  4. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Nahitaji vifaranga chotara 1000

    Habari wadau, nipo Singida nina uhitaji wa idadi hiyo ya vifaranga vya chotara hasa hasa sasso, wenye umri wa siku moja . Kwa wazalishaji na wauzaji nahitaji Na wasilisha. N.B 1. kipaumbele watapewa wa mkoa wa Singida na Dodoma 2.ukiwa nao kuanzia 300 pia itafaa
  5. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Who is your JF buddy? Ingawa haujawahi kumuona ila humu ndani ni mtu wako wa nguvu

    ONTARIOO 😂😂😂 Huyu jamaa alikujaga na stori trekta ya kukodi, of course inaweza kuwa chai but kuna vitu vingi alinifungua
  6. hs billionaire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Betting addiction inanipotezea utulivu kabisa

    Ni kweli kabisa unaweza ukawa na 10,000/= but kwako ikawa ndogo sana ila kwa mwingine hiyo pesa inaweza msaidia week am mwezi kabisa
  7. hs billionaire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Betting addiction inanipotezea utulivu kabisa

    Mkuu, kwanza pole sana kwa yaliyo kusibu. Kwanza hongera sana kwa kuamua japo kamali ina uraibu fulani, unaweza sema hii ya mwisho and still ukipata hela kidogo unarudi kulekule kwa kauli ya (hii ya mwisho) 😂 Ushauri wangu 📌Tafuta mbadala wa kazi ili iwe ina kuweka busy alot of time. 📍...
  8. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Naomba muongozo wa kuanzisha mradi wa kuku wa mayai

    Mkuu, mpaka sasa miaka miwili imetimia, umefikisha wangapi 😂😂
  9. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Zijue faida za kuamka mapema kila siku

    Mtoa mada mwenyewe ameamka saa moja kasoro, Me ni nani niamke mapema 😂😂😂
  10. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Tatizo mafundi wengi wanaongeza sifuri mbele, nimegundua ukiwa na lengo la kujenga ghorofa Tafuta ramani Ita mafundi maiko hata watano na kila mmoja umsikilize kivyake, ukimpata mpe vifaa aanze 😂
  11. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Mchina kanipigia simu ili aniuzie bidhaa bei sawa na ya supper agent

    Mbona hujaongelea swala la kupigiwa simu na mchina kama heading inavyoonekana
  12. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Mkuu mwaka huu najenga kaghorofa changu ,nitakutafuta unisaidie vitu
  13. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Nijuze Chimbo la saruji na nondo

    Me ka kwangu katakuwa tayari mwakani. Juu vyumba viwili 😂
  14. hs billionaire

    JamiiForums Tanzania Nijuze Chimbo la saruji na nondo

    Mkuu naona umeamua uanze kujenga ghorofa lako😂😂
Back
Top Bottom