Daaaaahhhh,viongoz wetu busara itumike kwa msamaria mwema
kumbe viongoz wetu wanataka wote tuwe mabubu
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
pole sana,pia hongera kwa kuwa na moyo mkuu
ushaur wangu hapo man kwa kuwa mawacliano yote unayapata subir cku watakapopanga mechi ya marudiano kawakamate hapo hapo ,hapo ndo itakuwa mwisho wa huo mchezo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
nyie wanawake kwa nn mnajidhalilisha ivo,mambo chumban unayatoa huku kwa nn,nyie mmekamilika ba kuwa vigezo vinavyokidhi?? mbona wengine huko chin mnanuka lkn wanaume huwa hatusemi au na cc tuanze kulipua kama hamjazikimbua media ???
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
kulikuwa na ulazima wa huyo dereva kutokuwepo nchini na kupata sehemu iliyotulia kama kenya kwa ajili ya usalama wake na kupata psychological treament kwa kile alichoshuhudia maana ni tukio la kutisha na la kwanza kutokea TZ
NAWAPONGEZA WALIOTOA MAWAZO YA HUYO DEREVA KUKIMBIZWA KENYA KWA KWEL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.