Recent content by hrs

  1. H

    Mambosasa: Kilichopelekea mwanafunzi wa UDSM akamatwe ni kusambaza uzushi mtandaoni

    Daaaaahhhh,viongoz wetu busara itumike kwa msamaria mwema kumbe viongoz wetu wanataka wote tuwe mabubu Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  2. H

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    pole sana,pia hongera kwa kuwa na moyo mkuu ushaur wangu hapo man kwa kuwa mawacliano yote unayapata subir cku watakapopanga mechi ya marudiano kawakamate hapo hapo ,hapo ndo itakuwa mwisho wa huo mchezo Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  3. H

    Wanawake wa JF tukutane hapa

    nyie wanawake kwa nn mnajidhalilisha ivo,mambo chumban unayatoa huku kwa nn,nyie mmekamilika ba kuwa vigezo vinavyokidhi?? mbona wengine huko chin mnanuka lkn wanaume huwa hatusemi au na cc tuanze kulipua kama hamjazikimbua media ??? Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  4. H

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Baba nyuma geuka mbele tembea achana na huyo mwanamke ukimng'ang'ania baada utajuta
  5. H

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Inabidi uangalie na umri wako kama unaiga tulia kwanza ukiwa mkubwa utafanya iyo kaz Anza kutafuta ujasir kabla kumwendea mwanamke
  6. H

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Na waliomjeruhi TUNDU LISU WATAUWAWA LINI???
  7. H

    Natamani kupenda tena

    tupia picha kamili ya 3D tukuone vizur
  8. H

    Walitambua vipi kuungua kwa nyumba kulisababishwa na betri kupata joto?

    utauliza wap na ukiuliza yawezekana ucpate majibu kabisa ukaishia kuteseka na kuteswa na uliyemuuliza
  9. H

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    NITAWASHUGHULIKIA by----------
  10. H

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    kulikuwa na ulazima wa huyo dereva kutokuwepo nchini na kupata sehemu iliyotulia kama kenya kwa ajili ya usalama wake na kupata psychological treament kwa kile alichoshuhudia maana ni tukio la kutisha na la kwanza kutokea TZ NAWAPONGEZA WALIOTOA MAWAZO YA HUYO DEREVA KUKIMBIZWA KENYA KWA KWEL...
  11. H

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    serikal inawajua watu wanafanya haya matukio wananchi tusihangaike Sent using Jamii Forums mobile app
  12. H

    Macho ya Wanaume

    hatariii,,,ila msiwalaumu sana wanaume coz sio wao bali ni hormone tu ndo zinazowafanya wageuke Sent using Jamii Forums mobile app
  13. H

    Ukipenda Penda Tu ,Ila Usitaraji kupendwa Pia.

    jinyonge Sent using Jamii Forums mobile app
  14. H

    Mbunge ataka apangiwe vipindi afundishe sekondari

    Kama ni mwl kitaaluma akafundishe,ila kama sio mwl kitaaluma aendelee na siasa atatuharibia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom