Recent content by hps300

  1. H

    Godbless Lema: Nimempekala Mtoto Agakhan Hospital Bima (NHIF) Imekataliwa!!

    Tatizo hapa kila MTU anajifanya kuijua Aga khan, hata wale ambao mmekuwa mkiona jengo tu. Kifupi Aga Khan haipokei NHIF kwa watu wa kawaida ila kwa wabunge pitia hata Leo au kesho reception utakuta maandishi. Ndo maana Lema kasema hazijalipiwa manake zinapokelewa tatizo ni kutolipiea
  2. H

    Duma tours ni matapeli?

    Hoja yako umeileta General sana, hujatueleza ilikuwaje mpaka ukatumiwa hiyo email je uliomba kazi au nini? Kama umeomba kazi ulijiridhisha kama hiyo kampuni ina exist? Ulijaribu hata kugoogle kwa sababu hakuna tour company ambayo haina website. Kampuni inakutumiaje email address inakuwa gmail au...
  3. H

    Tanzania tuna hospitali yoyote inatoza gharama za tiba kwa siku milioni 10 kwa mgonjwa mmoja?

    Binafsi namini kabisa inawezekana ukizingatia hiyo 10M TZS ukiconvert kwa Kshs ni sawa na Ksh 4M. Kwangu mimi inawezekana, Hebu tupe gharama za hosp za hapa EA. Kwa EICU kutokana na research yako.
  4. H

    Wachina watengeneza mafuta ya kupikia kutoka kwenye pumba za mpunga

    Hawa jamaa noma kuna supermarket yao maeneo ya mikocheni hapa kuna crips za maganda ya machungwa, machunwa yanamenywa maganda yanakausha yanawekewa chumvi na sukari na kupak kwenye mifuko then, ready to go
  5. H

    Tanzania tuna hospitali yoyote inatoza gharama za tiba kwa siku milioni 10 kwa mgonjwa mmoja?

    Kwanza tungejua wewe ni wa daraja gani? Kimaisha, Kiungozi na kimapokeo. Pili tufahamu wewe unatibiwa hospital zipi sana sana. Kwa gharama ya 10M kwa EICU ni kawaida sana.Lazima utambue kuwa EICU ni mgonjwa mmoja peke yake na ambaye anakuwa attended na Physician wa aina mbalimbali na Nurses wa...
  6. H

    Maswali 11 kwa Baba Askofu Dallu

    Unadhani njia sahihi ya kudhibiti tamaa ni kumzuia kwenda shule? Unatoka kusema wewe hukuwahi kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa? Hii sheria ilikuwepo toka zamani je imeshazuia mimba kwa kiasi gani? hebu lete takwimu. Ni rahisi sana kuongea hapa mtandaoni na kujinasibu eti wewe unasomesha, hebu...
  7. H

    Maswali 11 kwa Baba Askofu Dallu

    Hiki ni kipindi ambacho Kanisa kwa ujumla wake limekuwa na kigugumizi tangu Tanzania kupata uhuru. Dhana ya utamaduni wa mwafrika nadhani ni ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia, nasema hivo kwa sababu hata hili kanisa analo liongoza yeye halikuwa utamaduni wa kiafrika. Kama kweli Askofu anaamini...
  8. H

    Fatuma Karume kumfananisha Rais na kinyago ni sahihi?

    This is too much, Fasihi uliisoma kweli wewe? methali na nahau umesoma kweli wewe? Kinyago kinawakilisha nini ktk lugha ya sanaa? Je angesema Zimwi likujualo ungesemaje? Je mchawi mpe mwanao? utashitaki wangapi? mbona imefika mahali tunakimbilia kutaka watu Fulani wachukuliwe hatua bila hata...
  9. H

    Uonezi katika udahili 2017, Maombi chuoni na kila chuo unalipa

    Issue siyo watu kutokujielewa? kuna watoto wa maskini hata hiyo sihirini ni issue kupiata, Suala la kutokupangiwa chuo sawa issue ni ada ya kuomba kujiunga na chuo, haya mambo yanawaumiza sana watz na yapo sehemu nyingi hata shule binafsi unakuta mtu shule inauweza wa kuchukuwa wanafunzi 100...
  10. H

    Uonezi katika udahili 2017, Maombi chuoni na kila chuo unalipa

    Mimi nadhani mwendawazimu ni wewe, ikiwa umeshindwa kupata hoja katika taarifa hiska, siyo kila kitu ucomment Ch****p mnakera katika mambo ya msingi lazima mlete bangi. Yeye ameongea kile kinachoonekana na kiko wazi. Mtu anapoomba chuo hana uhakika wa kupata nafasi kwa sababu hajui ni wangapi...
  11. H

    Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

    Hebu RUDIA kwamba ni kuPM unipeleke ....... Joking man am not of those kind. Wewe kafanikiwe tu siyo lazima wote tufanikiwe kwa kupitia Pyramid Scheme, asante
  12. H

    Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

    Mkuu nimeileta kama ilivo ili utakapokutana nayo uwe tayari umejipanga. Make wanaongea kama kasuku usipokuwa makini unapigwa sekunde, make nimejaribu kuwauliza maswali kadha kadha wakanipeleka mpaka kwenye vislide vyao lakini bado nikaona kuna kupigwa hapa
  13. H

    Alliance Global in Motion siyo DECI nyingine?

    Wanajamvi, Kama mjuavyo Tanzania tunaishi kwa matukio, kuanzia kikombe cha babu, Deci, D9 Club, Mayai ya kware, Kilimo cha green house, Ufugaji wa Sungura na sasa Alliance Global in Motion. Nimeleta hii mada kwa sababu kila mtu unayekutana naye sasa hivi mtaani atakueleza ni namna gani unaweza...
  14. H

    Shule ya binafsi mchepuo wa Kiswahili

    nonsense, mleta mada amataka kufahamu shule ya private mchepuo wa Kiswahili na si dini Fulani. Hivo am doubting your level of reasoning
Back
Top Bottom