Ni ujinga kumkubwa sana kwa sisi tuliosomea mambo ya security hiyo ni option ya mwisho kabsa(kuua) baada ya kujidhihirisha kua adui ana siraha nzito na amekaidi amri.sasa mtu yuko mikono mitupu unamlamba shaba why? Kwa askari mwenye mafunzo huyo alikua wa kulia ambushi dk kumi nyingi ushamtia pingu.
Hawa watu wengi wao wanakua hawana shida ya nauli wanatumia nafasi hiyo kujipatia kipato.mm nlimpea jamaa mmoja nauli maeneo ya standi ya mwl nyerere pale mikocheni nikaja kutana nae tena maeneo hayo uzuri mm huwa simsahau mtu hata ipite miezi miwili nlimkataaa.
Na kuliua na ngombe moja mzee nikienda nae machungani akichoka analala hapo hapo njiani kumnyanyua shida ilikua inanilazimu kumuacha palepale napeleka wengine narudi na tera la kusukumwa ngombe tunambeba
Sitosahau kuna ndama mmoja alikua mkorofi balaaa.kumchunga ilikua shughuri sometime alikua ananitoa nduki hizo na akinifikia anaanza kunipiga vichwa.nilikua ndo kwanza na miaka 6.nashukurupembe hakua nazo ndo zilikua zinaota tofauti na hapo angeniua
Changamoto ni watu kuchelewa kukamilisha oda mapema wale wana kiwango chao kikifika ndo wanatuma hawawezi kutuma mzigo wa million 100 wakati wao lengo lao million 200.
Hakuna kitu kisichokua na postive na negative impact.
Postive impact of weed
1. Inakupa hamu ya kula mf mm plate ya chakula kama sijavuta huwa nabakiza nikivuta naweza kula plate karibu tatu.fatilia wavuta bange wengi wanakula hatari.
2.dawa ya usingizi.ukiona usingizi unakuwa mgumu kwako vuta...
Soko limehamia kwa maloli ya kichina saivi watu wanakimbilia faw gari lenye nguvu kama trekta na pia spear zake bei cheeeee.hizo scania na benzi ghalinsana kama spear zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.