maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,278
- 5,520
- Thread starter
- #61
mconecr jamaa fasta mkuu ndo maisha hayo kakaKuna Kazi ipo mahali wewe tuu
mconecr jamaa fasta mkuu ndo maisha hayo kakaKuna Kazi ipo mahali wewe tuu
Unataka niwape mbinu ili mjanjaruke nitampata Nani sasa?Unafanyaje haahaa umejua kunichekesha
Haaahaaa tupe mbinu moja tu..Unataka niwape mbinu ili mjanjaruke nitampata Nani sasa?
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Nauzaje Siri ya Vita kwa Adui ?Bora umesema ukwel..ebu tuambie ume watapeli nn.na njia zipi unazotumia kuwatapeli..
kuna jamaa hapo juu nadhani yupo poa sanaNatafuta mtu wa marketing ya online
Swali hilo nimesimama chini nikatwanga picha angani nikalichukua jua na mawingu.hiyo itakua aina gani ya photograph?1)Mimi mwalimu wa Geography nipo njema kwenye Geography nitandike swali lolote la Geography nitakujibu.
2)Mwana mazoezi Gym niulize chochote kuhusu mazoezi hasa ya kunyanyua vyuma (Free Weight).
.Mkuu Miti shamba ina mambo mengi hatuyajui.
Case no.1 ukiwa umevunjika mguu, ukishawekwa pop au zile chuma nenda kwenye maduka haya ya Kiislamu ya kienyeji. Kuna dawa inaitwa mumiani nunua ni nyeusi tii. Sharti lazma uichanganye kwenye supu ya kuku ndo uinywe unakunywa mara tano au sita. Wiki mbili tu mfupa umeunga
Case no 1. kuna dawa naijua ukiikamua iko kama mlenda, hiyo dawa kama unaharisha damu ukinywa inakata hapo hapo yaani kama uchawi
Case no 3. kuna watoto wanakua na hizi tezi permanent kama vile wako infected na ugonjwa mjubwa sana, ukimgusa mtoto kwa nje chini ya taya unakuta zimevimba, kuna mti kule Moshi unauzunguka mara kumi then hugeuki nyuma kesho yake yanapotea.
Shida kubwa ya miti shamba ni kwamba elimu yake inapotea kwa kasi sana na watu wengi hawapendi miti shamba.
Vertical photographySwali hilo nimesimama chini nikatwanga picha angani nikalichukua jua na mawingu.hiyo itakua aina gani ya photograph?
Nipo tight Kwenye betting, japo hakuna genius wazee wa over,under,Wakuu, Nimeona nilete hii Mada hapa naamini Itatusaidia Wengi sana. Kama kuna kitu unaamini unakijua, na kukielewa kiundani, iwe kielimu au kwa uzoefu! ningependa ukiweke hapa na mtu anaweza kukuuliza swali ukamsaidia chochote kile
Mimi Nafahamu Kidogo kuhusu;
1: Ujenzi, Architecture, Biashara na Connection
2: Nina uzoefu kwenye ushauri wa Ndoa, Mahusiano, Biashara na maisha ya kupambana
3.kubadilisha nafasi kuwa hela,kuweka bidhaa mpya sokoni, bible history kidogo...na crime in general
Tukubaliane kusiwe na masihara tutasaidiana sana
mkuu ww uko kama mm, najua na nafanya vitu vingi hadi najiogopa..na hapo najilimit sana maana serikali ya sasa ukienda speed ni hatariNipo tight kwenye kilimo,nipo tight kwenye graphics design,nipo tight kwenye teknolojia ya chakula,nipo tight kwenye banking,nipo tight kwenye blockchain,nipo tight kwenye leadership na coaching. Haya maisha yanatufundisha vingi ndo mana sishangaagi da vinci kuwa daktari,engineer,mchoraji,designer etc