Recent content by House MD

  1. H

    Menejiment ya Ali Kiba, yaiba nyimbo za Diamond na kuziuza iTunes

    Na wewe hapa ndio umeandika nini!!? Mbona Pumba tupu.
  2. H

    Menejiment ya Ali Kiba, yaiba nyimbo za Diamond na kuziuza iTunes

    Mleta mada yeye mwenyewe kaileta kishabiki,si kamtaja kiba sasa watu wakianza kumtetea kiba mnaanza kusema ooh! Mahaba,nyinyi vipi!!?
  3. H

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Huu ni umbea tu na uchonganishi WA mtaa wa pili,KingKiba hawezi kuongea huu upuuzi
  4. H

    PICHA YA PAMOJA: Diamond, Ali Kiba na mashabiki

    Hii sasa ni CHUKI ambayo imepitiliza sasa,kawakosea nini mtoto WA watu!!? Kwani hamuwezi kumshabikia Diamond bila kumchukia KingKiba
  5. H

    Davido atambua mchango wa Tanzania

    Naona unaota huku uko macho,kwenye category gani kwa mfano!!?
  6. H

    Davido atambua mchango wa Tanzania

    No hate but hiyo itakuwa ni miujiza
  7. H

    Davido atambua mchango wa Tanzania

    We are Africans we are One tuache ubaguzi WA bendera,vote for the best not for the country
  8. H

    Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

    Umeongea LA msingi Sana,ni mafanikio kwake saw a tunajua Una appreciate kidogo tunaendelea na mambo mengine,tunasifia utadhani DUNIA nzima yeye ndio WA kwanza kumiliki Lamborghini!!? Team Domo tuache ushamba
  9. H

    Makao makuu CHADEMA 'chini ya ulinzi'

    Naona umeamka na Stress, haya tupe hiyo idadi ya nakala zinazochapishwa na mwananchi kwa siku
  10. H

    Rais Kikwete akutana na Diamond na Mshindi wa BBA Idris

    Double standard za bi kiroboto Faizafoxy linapokuja swala linalomuhusu JK wala usishangae
  11. H

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Nimeingia YouTube kutafuta video ya mwana nimemkuta mbuta nanga anacheza wimbo WÅ mwana!! Nimechekajeee!! Huyu mama zinamtosha mwenyewe
  12. H

    Mchepuko wa Zari (Farouque) abwaga manyanga

    Kwa kweli WÅ TZ wala walikuwa hawamjui
  13. H

    Mchepuko wa Zari (Farouque) abwaga manyanga

    These hoes ain't loyal
  14. H

    Tanzanian most successful women under 40

    Senior internal auditor!!? KuanIa lini!? Huyu si public relations officer!!
  15. H

    Tanzanian most successful women under 40

    Mwamvita Ana asset gani ya kueleweka!?
Back
Top Bottom