Helicobacter pylori
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 430
- 287
Ninachosoma kwenye akili yako ni madafu tu...
Bebhe ganyana ebhe nang'ho gazeti linawafia mikononi hilo!! Huku Shinyanga mbona hata wao makao makuu ya mkoa yako chini ya UKAWA! Sasa na wao waseme maccm yako chini ya ulinzi?:Hivi mtaa Wa ikulu pale magogoni haujachukuliwa na UKAWA? Hebu tupeni taarifa wadau!!
Kizota Dodoma kuwa chini ya CDM hiyo imekaaje? Makazi ya Waziri Mkuu huko Chanika kuwa chini ya CDM ikoje?
Uhuru, Mzalendo, DailyNews, Habarileo yamerundika waandishi makanjanja.
Ahsante kwakuwa hujapinga kuhusu nakala zinazochapishwa na kigazeti chenu kisichosomwa hata na Nnape Nauye, pita kokote kule ukiona mtu anasoma hilo gazeti la UHURU basi una bahari siku hiyo
Nyie mngeshinda mtaa wa lumumba si mngejaza sever hapa, kupata izo 28% imekuwa balaa.
Siwezi kupinga ingawa si gazeti langu hilo kama unavyotaka kuwaaminisha watu humu.
Kaeni kwa amani siku zote za maisha yenu! Matusi, majigambo na kejeli havijengi nchi. Tuitazame nchi yetu kwa mawanda mapana sana ili pale inapotokea issue ya kitaifa tuijadili na kupata majibu bila kujali itikadi zetu za vyama vya siasa. CCM, CDM, NCCR, TLP, CUF n.k vitakwisha lakini Watanzania hawataisha!
Unajua kopo la choni likiangushwa linatoaga sauti sasa hizi ni sauti za kopo la chooHivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.
wonderful
Hivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.
wonderful