Davido atambua mchango wa Tanzania

Davido atambua mchango wa Tanzania

Mamy achana nao hawa saivi washakata tamaa acha watape tape kama kuku anayechinjwa sisi tunavote for davido
Unless kama unaamini wapiga kura wapo JF peke yake na usisahau, mshindi wa MTV sio kama mshindi wa KTMA kwamba anaamuliwa kwa kura za mashabiki kwa 100%.
 
We are Africans we are One tuache ubaguzi WA bendera,vote for the best not for the country
 
noma sna yani wanaake wajinga hawa na mbunge wao huyu wanafanya tunaonekana wote matahira diamond sijui alikuwa anaipakaga asali kabla hajachomeka maana anamfanya dada wawatu anachanganyikiwa

hahahahaha ufundi tu.... watu wanapanick, afu unajuwa kinachofanya waumie zaidi ni kumuona mchizi bado ana shine kinoma, so kinachosalia ni wao kuuvaa ushabiki kwa kila ataeshindana na dangote hata ikitokea bestnaso kawekwa category moja na diamond hakuna mbongo mwingine wema na jokate watakwambia wanamuelewaga sana nyimbo zake ajahahahahha
 

Attachments

  • 1434820801627.jpg
    1434820801627.jpg
    43.5 KB · Views: 170
Davido ana washangaa sio ana tambua mchango wenu
Upo sahihi kwa 100%; yaani hapa ni kwamba anatung'ong'a lakini wenyewe tunadhani anatupenda sasa sijui atakuwa anatupenda kwa kipi zaidi ya kutuona wehu. Nigeria ina watu zaidi ya mara 4 ya Tanzania kwahiyo sidhani kama ana shida na back up ya watu ambao hata yeye anafahamu wala hawafanyi hivyo kwa mapenzi.
 
Back
Top Bottom