Kwa nini mnakuwa wepesi wa kulalamika na kusingizia ubaguzi wa kidini? Hamjui sababu nyie? Hivi ukimaliza level ya madrasa unaingia form 4, 5 au Chuo kikuu?
Lakini kweli raisi anatekeleza sera ya chama tawala. Ukawa mnalijua hilo? Mwenye nguvu mpishe ukishindana mtaumia. Jipangeni kwa kampeni ya 2020 kwa sasa acheni nchi isonge mbele si mnaona jitihada za mheshimiwa mkuu wa nchi zinatia nia na matumaini ya kufika tunakotaka(asali na maziwa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.