Uzoefu ni zaidi ya professional
Pia angalia kazi ya kujichanganya na watu ndio yenyewe ya sales ila sijui kama uhasibu unakupa nafasi hiyo
Pia Kuna kuumiza sana kichwa kwenye uhasibu utazeeka na kutoka kipara mapema
✔️Fanya hiyo ya sales
✔️Ina MAOKOTO mazuri
✔️Una uzoefu nayo
✔️Inaweza...
Mbona li ishu lenyewe linawahusu wanaume? Hao waongo? Alisema kwenye kikao chenu watajuaje ili wabadilike?
Zaidi sana kwa Uzi huu ni lazima atampata tu wa kwake aliyevurugwa kama yeye
Endeleeni kuvunja ukimya Kuna CK mambo yatakuwa sawa "bolti itafunga kwenye nati yake"
Hivi UCHAWA ni kitu gani?
Mbona ni kama ugonjwa wa ajabu wa akili mbaya kuliko kichaa?
Mtu anaamua mwenyewe kuwa chawa au anaweza kufanya chawa?
Ni kama zombi ama roboti fulani unaloweza kuliprogram au nini?
Au ni transformation ya nyakati na maendeleo ya kijinga ya mwanadamu ?
Nini...
★Si kweli kwamba wote unaodhani Wana maisha mazuri wanatumia ndumba
★Sio kweli kwamba unaodhani wamefanikiwa kwa mtazamo wako wanaishi kwa Raha
★Sio kweli kwamba mafanikio ni vile unavyodhani wewe,huo ni mtazamo wako tu na ni mtazamo hasi
★Sio kweli kwamba hao unaowaona wamefanikiwa ni kweli...
Sijaiona mahali ulikokosea
Unao uhuru wa kupata unachokihitaji bila kuvunja Sheria za Inchi yako.Maisha Yana mambo mengi sana na Siri ya mtu aijua mwenyewe.Kuna mtu alisema life starts at 40,kumbe kwako bado ni asubuhi tu.Kazi ma dawa
Hayo mambo madogo sana kwa kuwa yanarekebishika kirahisi
Fanyà makubaliano naye ya kurudiana,Tafuta mwanasheria wa kike akuandalie hati ya makubaliano aweke vipengele vya pande zote, wako na wake pia namaanisha unavyotaka wewe asikufanyie na na anavyotaka yeye asifanyiwe
Kama mnapendana kweli...
Ujinga huondolewaje ndani ya mtu kwa
Kumtukana?
Kumkebehi?
Kumkejeli?
Kumzodoa?
Kumbeza?
Kumkasirikia?
Wahenga walisema "mwenye nguvu hapigani"
Hekima ni nguvu kwa yeye aliye nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.