Tatizo walioshikilia dola bado wanaamini watanzania ni wapumbavu hii itawacost siku moja, jamaa kajibu maswali yote kisiasa na sio kitaalamu kulingana na professional yake.
Ni wazi yale majibu yote alitoka nayo nyumban.
Nachokijua mimi, mtume Muhammad baada tu ya kumuoa bi khadija alimuamuru Mkewe yaani bi khadija awaachie huru watumwa wake wote.
NB. Mtume alitokea familia maskini hakuwahi kumiliki watumwa zaidi ya kuwapa uhuru wale aliowakuta kwa mke wake.
Usiandike kitu usichokijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.