Recent content by honorto

  1. honorto

    Biashara ya vyombo

    Habari wana jamvi. Samahani wanajamvi, ninawazo la kutaka kufanya biashara ya kufungua duka la vyombo vya ndani. Kama kuna anaejua sehemu vinakopatikana kwa bei ya jumla jumla lakini kwa bei nzuri naomba anisaidie. Niko Mbeya Mkoa mpya wa Songwe.
  2. honorto

    Clouds wamenifurahisha sana na hii kauli mbiu

    Amekumbatia fursa na atang'atuka nazo madarakani
  3. honorto

    Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    [emoji3][emoji3]Nchi ya chato
  4. honorto

    Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    kanumba nilimpenda nililia adi nilizimia. Lakin Lulu jaman Lulu[emoji24]
  5. honorto

    Tabia za mashemeji zangu hazieleweki

    Hawana heshima[emoji35]
  6. honorto

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Msaada dada wa huko Nairobi, nina mtaji wa 1,000,000
  7. honorto

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Asante wangu mana ata mimi nikikua natamani sana nijue wanako jumua vitu.
  8. honorto

    Hivi kwa hapa Mbeya kuna maduka ya dawa asili?

    kutokana na faida za mti wa mlonge nilizo zisoma humu ndani, hivyo nimehamasika na dawa asili zitokanazo na mti wa mlonge. Nana imani kupitia tiba hii nitapona maladhi yangu yanayo nikabiri. Ivyo kama kuna anae jua lilipo duka linalo uza dawa za asili kwa apa mbeya mjini naomba naomba msaada wa...
  9. honorto

    House4Sale Nauza nyumba IPO Dododoma mjini .bei million 18

    Mbona kama kukame sana huko
  10. honorto

    Kesi ya Lulu: Mke wa Dr. Slaa asema Kanumba alikuwa na sumu mwilini, upungufu wa hewa na maumivu kwenye ubongo

    [emoji29]kumbe ndo mana tuliitwa wabongo kumbe bongo zetu ni mbovu hazina uwezo wa kufikiria mambo ya msingi katika maisha yetu. Umekaa unawaza tu sumu ya nyoka[emoji35]
Back
Top Bottom