Habari wana jamvi.
Samahani wanajamvi, ninawazo la kutaka kufanya biashara ya kufungua duka la vyombo vya ndani. Kama kuna anaejua sehemu vinakopatikana kwa bei ya jumla jumla lakini kwa bei nzuri naomba anisaidie.
Niko Mbeya Mkoa mpya wa Songwe.
kutokana na faida za mti wa mlonge nilizo zisoma humu ndani, hivyo nimehamasika na dawa asili zitokanazo na mti wa mlonge. Nana imani kupitia tiba hii nitapona maladhi yangu yanayo nikabiri. Ivyo kama kuna anae jua lilipo duka linalo uza dawa za asili kwa apa mbeya mjini naomba naomba msaada wa...
[emoji29]kumbe ndo mana tuliitwa wabongo kumbe bongo zetu ni mbovu hazina uwezo wa kufikiria mambo ya msingi katika maisha yetu. Umekaa unawaza tu sumu ya nyoka[emoji35]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.