Recent content by Honey pie

  1. H

    Wachepukaji wengi wana tabia hizi

    Hivi kuwekwa dp na status ni kipimo cha kupendwa eeh
  2. H

    Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

    Watangazaji wengi wa clouds wanawanyapia sana WCB sema hawataki kujionyesha
  3. H

    Naongea na wewe Jembe ni Jembe meneja mpya wa Harmonize

    Angekuwa WCB wangesema wimbo una matusi haaahaaa
  4. H

    Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

    Samahani mkuu ulishawahi anguka na ukaanza upya eeh
  5. H

    Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

    Boss Joe ni genious sanaaaa
  6. H

    Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

    Hongeraa kwa kuipenda familia
  7. H

    Jinsi ya kuwapokea Timu zetu zinaporudi baada ya kushinda. Ushauri kwa TFF

    Umenikumbusha Croatia mwaka jana walipokelewa vzrii kweli yaani wangekua mabingwa cjui ingekuwaje
  8. H

    Msaada wa kutafsiri ndoto.

    Natumai mpo wazima kama kuna ambaye sio mzima Mungu amponye. Jaman mara nyingi huwa naota ndoto naokota hela na huwa naokota nyingi kweli na hata tukiwa wengi mimi huwa naokota nyingi kuliko wenzangu.Naomba kwa anayejua tafsiri ya ndoto hii sababu inajirudia mara kwa mara..Asantee
Back
Top Bottom