Upo sawa mkuu,kama atapanda ndege basi itabidi ashukie Bukoba then achukue gari za kwenda Ngara ambapo zipo njia mbili; moja inapitia Biharamulo nauli ni sh. 20 elfu( hii njia ni ndefu) nyingine inapita Karagwe na nauli ni sh.15 elfu. Hapo ni bora akapanda Bus zinakwenda Rwanda wamshushe Benako...
Alafu wewe ukisema timu zenye ushindani sijui unatumia kigezo gani? Yaani mpaka sasa hivi Asernal na Liverpool bado unaziweka kwenye kundi la timu zenye ushindani Ulaya? Liverpool tu yenyewe msimu huu imebahatisha bahatisha tu.
Hapa nimepigwa ban lakini sijui kosa langu ni lipi. Alafu nimeshaona siku hizi hamtaki post zinazokosoa serikali. Uzi wangu wa mwisho niliouweka humu ni kuhusu walimu ambao hawakuchangia mwenge kuitwa na mkuu wa wilaya kutoa maelezo kitu ambacho ni kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.