Upumzike kwa Amani Captain Komba... Uwasamehe wote wanaotumia kifo chako kukuhukumu kwa kejeli bila kujali maumivu familia yako inayopata... ulikua mwanasiasa ambae kama mwanasiasa mwingine yoyote ulitetea upande wako...Tanzania itakukumbuka daima
Upo biased mkuu...mimi co msemaji wa Membe true lakini nilisikiliza kila aliloongea nashangaa tu jinsi ulivyokurupuka kuandika uongo.
Mtu aliyeangalia ile habari na kusikiliza kwa makini atajua umesema uongo uliotukuka..
Membe hakuegemea upande wowote either Palestine au Israel alistick tu...
Mbona nimemsikiliza hamna sehemu aliyoilaani either israel au palestina bali alisema Tanzania inalaani ghasia izo na inaomba juhudi za kuleta amani zifanywe haraka....sometimes ata kama humkubali mtu please usimzushie vitu vya uongo
To me Membe ndo atafaa..kwa mbali namwona january makamba...membe yupo strict na atakua bomba ku handle mambo ya nje.EL alifaa 2005 co sa hv tena..hiv sisi tutakua watu wa aina gan kumpa mtu aliyehusika na kashfa kubwa kwny nyadhifa kubwa zaidi...lakin pia afya yake inatia wasiwasi juc lyk...
Kama unapajua vizur nadhan utakua mjinga kusema kwamba malaya ni wachaga kwa sabab kuna vyuo vitatu sa hv pale moshi muccobs,kcmc,mwenge bado kuna stefano moshi,,,,so nadhan ushaelewa
Sasa kwan haruhusiwi kufanya hivo??ndo mana nkakwambia ni jicho la pili la raisi,,,anaangalia nini kinaendelea katika nyanja za chini za uongozi..na anatoa ripoti kwa raisi...naona umeelemea kwenye iyo point moja tu ya usafi lakin anafanya vitu vingi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.