Yeye ni fundi simu sasa inaonekana aliwahi nkununua simu kumbe mtu alie muuzia kaiba so akachukuliwa kwa kosa la kununua mali ya wizi (alichukuliwa asubuh) mchana karudi na askar ndo wakachukua hivo vitu sasa wakadai risiti ya hivo vtu jamaa hana
Jamani polisi wamechukua vitu vya ndugu yangu na wanadai apeleke risiti vitu hivo vimenunuliwa mda sana naomba kwa wazoefu wa sheria au aliyewahi tokewa na tukio kama ili alifanyaje had akavipata vitu vyenyewe ni pamoja na; monitor,subwoofer,na deki... NB vyote havina risiti lakin ni mali halali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.