Nimejifunza ukiwa mzalendo kwa nchi yako,msemakweli na mtetezi wa wanyonge umalimwa shamba mchana kweupe na watuwasiojulikana.lakini madikiteta wanaachwa huru
nikiona mambo ya kihuni na yahovyo yanayofanywa na jeshi letu la polisi dhidi ya wapinzani na raia wake,napata kichefuchefu nikioni hiyo picha na clip ya ACP MWAKALUKWA hapo juu,eti tuzungumze,ujinga mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.