Recent content by HOMBOY

  1. HOMBOY

    Chenge na Ngeleja kuongoza kamati ya sheria ndogo ya Bunge, najifunza haya

    Masikini mama Tanzania. Tundu Lisu upone haraka njoo huku utusaidie wenzio,wale mchwa wa vijisenti wamerudi tena kwenye ulingo
  2. HOMBOY

    Siku Ben Saanane akionekana itakuwaje?

    Polisi watasema uchunguzi unaonekana alijiteka
  3. HOMBOY

    Lowassa azingirwa na polisi nyumbani kwake Monduli ashindwa kwenda kumnadi mgombea

    hadi wanakera nimesema JF watoe hiyo picha na clip ya huyo ACP hapo juu.naiona ya zimbobo
  4. HOMBOY

    Lugha gani ni ngumu kuliko zote?

    ki Iragw
  5. HOMBOY

    Ni kitu gani kipya ulichojifunza mwaka huu ambacho ulikuwa haukifahamu

    Nimejifunza ukiwa mzalendo kwa nchi yako,msemakweli na mtetezi wa wanyonge umalimwa shamba mchana kweupe na watuwasiojulikana.lakini madikiteta wanaachwa huru
  6. HOMBOY

    Polisi Tunduma wanamtafuta kwa nia ya kumkamata Naibu Katibu Mkuu Bara John Mnyika kwa tuhuma za kumuita Rais Dikteta

    sujui kaka kasema,na kama alisema kwani ni uongo,hao madogi waache kujipendekeza kwa huyo dictate
  7. HOMBOY

    Mugabe adaiwa kujiuzulu kwa masharti, ataka yeye na mkewe wapewe ulinzi wa kudumu. Mali zao zisiharibiwe

    hili li zee bado gangari anaweza kwenda matuta 120 kwa umri, akiangalia zimbabwe inaendaje
  8. HOMBOY

    Kama uenyekiti ndio hivi, wakionja urais watafia Ikulu

    Kamba ambavyo chama cha mauaji kinafanya kwa sasa
  9. HOMBOY

    Mke wa Lissu ataka kuwajua waliotumwa na aliyewatuma kumuua mume wake. Wana mpango gani tena?

    nawe mbona wakitajwa tu polisi pamoja na watuwasiojulikana unapata mawenge au ni mojawao nini.chama cha mauji
  10. HOMBOY

    Mke wa Lissu ataka kuwajua waliotumwa na aliyewatuma kumuua mume wake. Wana mpango gani tena?

    nawe acha kutumika ki ovya ovyo,dereva wa nini wakati Lisu mwenyewe yuko hai na anakuja.Kuandika tu ulichoandika ni unafiki
  11. HOMBOY

    Mgombea wa Udiwani CDM Avamiwa

    JF watoe hiyo picha ya ACP hapo juu hatakama.....
  12. HOMBOY

    CHADEMA NYASA: Msafara wa John Mnyika Wavamiwa na Polisi, Waingia ndani ya gari la Mnyika na kuchukua vitu Mbalimbali

    nikiona mambo ya kihuni na yahovyo yanayofanywa na jeshi letu la polisi dhidi ya wapinzani na raia wake,napata kichefuchefu nikioni hiyo picha na clip ya ACP MWAKALUKWA hapo juu,eti tuzungumze,ujinga mtupu
  13. HOMBOY

    Nina kipaji kikubwa sana lakini kinapotea

    ungana na Dr.shika mkafungue taasisi,mna mawazo yanayoendana
Back
Top Bottom