LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 245
Ndugu zangu huyu mnaemuona ni mgombea wa Diwani Tonni Ndewawio wa Kata ya Mfumuni Amevamiwa na Mgombea Wa CCM Kata ya Bomambuzi Juma Rahibu akiwa na vijana zaidi ya Ishirini Wamemnyanganya Simu,Wallet,Laptop na Documents Muda huu ndio natoka KCMC kweli tamaa ya Madaraka mpaka tuumizane kiasi hichi tunaelekea Wapi naumia sana.
Hawa Ali Anareport kupitia Ukurasa wake wa facebook
Hawa Ali Anareport kupitia Ukurasa wake wa facebook