mkuu Junior 2
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 282
- 201
Kimasai
ki Iragwduniani kuna lugha mbalimbali zinzotumika kama mawasikiano,swali langu je ni lugha ipi ni ngumu kujifunza,kuielewa au hata kutamka .tuanzie hapa east africa....lakini kama una ufaham zaidi tujuzane hata za nje ya EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadharia ya lugha inasema lugha zote ni sawa hakuna lugha ngumu inategemeana na wazungumzaji vile vile pie lugha zote ni bora.Nadharia ya lugha inasemaje kwan wataalam tujulishen...nakumbuka wanasema hakuna lugha ngum wa lugha nyepesi kujifunza.
Umenikumbusha BARAKOAKiswahili Mkuu, ndio maana mkulu hatuelewi.
Acha kunukuu jibu swaliYou can not decide unless you have come across all, which is impossible!