Mh, we mdada, sijui kama ni mdada kweli au zuga tu??!!! Nadhani hauko serious. Hivi unawezaje kusema mambo kama hayo kuwa unataka mwanaume legelege na utakayemdhibiti halafu utegemee aje kweli. Hakuna mwanaume anayependa kudhibitiwa. Hilo sahau. Sanasana atakuja mtu atakupiga ngozi atasepa. Pole
Mkuu, pole sana. I feel ur pain. Ingekuwa mimi ningeshamdedisha. Hawa wanawake wa hovyo sana. Lazima atakuwa keshaliwa na huyo jamaa. Hebu tafuta namba ya hilo jizi lako kisha ulipeleleze. Ukilipata lifundishe adabu. Huyo mama mtafutie adhabu zaidi. Kichapo tu hakitoshi
Nadhani hapa suala sio mtu kutishwa na elimu ya mtu. Hapa hoja ni kwamba wanawake kwakisoma wanakuwa na nyodo. hawaheshimu wanaume kadiri inavyopaswa. Hebu tuangalie hili ni kweli? Mimi binafsi naona ni kweli. tusipindishe hoja
i
Binafsi hunisaidia sana kumhehsimu mke wangu. Unajua ukishapiga nje unakuwa kama unajihisi una hatia hivi, kwa hiyo mapenzi yanakuwa kwa sana. Halafu unaona kuwa kule nje hakuna cha ajabu - sana sana mambo madogo mamdogo tu.
Pia nje kuna mambo unaweza kuyaomba na ukayapata - nyumbani huwezi...
Bandugu bapenzi,
Hii mada imenisisimua sana. Lakini, ninaona tunaijadili huku, wengi wetu, tukiwa tumejaa 'cultural prejudice'. Waswahili wanasema maamuzi mbele ya kitamaduni. Cha msingi, hebu jaribu kuwa kwenye viatu vya mwenzako. Mshikachuma aligusia kidogo hili aliposema kila mtu ana uhuru wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.