Wavulana na suruali chini ya makalio,vipuli,kujichubua na kusuka'Je kuna faida gani?

kuna vitu vya kuacha na vikapita km fashion lkn cku izi vijana wanaharibika na tusipo kemeana tutakuja kuvaliana hadi magaun alaf cjui tutaendelea kusema ni fashion itapita!!vijana wengi nowadays thy r nt gentle wako kuajabu mmmno

Siku ya siku kutokana na mambo ya kuiga utasikia gay parade in Dar
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini sio mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - Nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.

Sasa wewe umejuaje kuwa sio mashoga, kwani hizo ni tosha kuwa ushahidi wa kimazingira kuwa mashoga?
 
Kufanya hivyo hakuna faida yoyote ila ni ulimbukeni na ni upumbavu mtupu kwani wao ukiwaulizia hawana majibu!
Wabongo tumekuwa na tabia ya kuiga mambo mabaya tu na tunakuwa wabunifu wa mambo ya ovyo ovyo kila kukicha. Tumeshindwa kubuni njia ya kutatua tatizo la umeme tumekaa kubuni kufaa kata k.
Kwa upande mwingine hawa dada zetu ndo siku hizi hamna kitu kabisa kwa upande wa mavazi yaani ni zero kabisa! Ni upumbavu, ulimbukeni na ni ujinga kabisa!
 
Bandugu bapenzi,
Hii mada imenisisimua sana. Lakini, ninaona tunaijadili huku, wengi wetu, tukiwa tumejaa 'cultural prejudice'. Waswahili wanasema maamuzi mbele ya kitamaduni. Cha msingi, hebu jaribu kuwa kwenye viatu vya mwenzako. Mshikachuma aligusia kidogo hili aliposema kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavyotaka.
Mimi, kwa maoni yangu, naona ikiwa mwanaume anaona ni vema kugaa blauzi na sketi, na hakai uchi mbele za watu - ruksa. Ikiwa wewe husuki, na huoni vibaya mwanaume wa Kimasai kusuka na kuvaa hereni, hebu waache wengine waishi kutokana na wanachoona kinafaa.
Ufike wakati tuachane na udikteta wa kihisia na kitamaduni na kushikilie tunu zilizo muhimu kwa maadili yetu.
Mbona siku hizi hakuna kelele kwa wanawake wanaovaa mashati na suruali? Tumezoea. Kuna ubaya? Hakuna.
Hongera mleta mada. ni nzuri
 
huo ni ushoga! Mwanaume unatoga sikio! Unavaa hereni, una kipini cha lips au ulimi! Yani hapo ni ushoga tu mijitu namna hiyo mashaka wanakua sio strait, wao ni bi or gay.
<br />
<br />

NANI alikuambia ni ushoga? Acha ujinga wewe fumbua macho yako, mbona kuna mashoga wanavaa suti na huwezi ukaamini ni mashoga coz they looks like a real gentlemen! Dnt judge watu like that! Ushoga sio kujitoboa! Kama unaona hiyo style huipendi iache and deal with ur style! Zamani nilikuwa ninaona watu ni ujinga but now nimeishi na watu wengi na nikajifunza kuwa kila mtu ana lifestyle yake! Kwani akijitoboa wewe inakuadhiri vp? THINK POSITIVE!
 
Bandugu bapenzi,<br />
Hii mada imenisisimua sana. Lakini, ninaona tunaijadili huku, wengi wetu, tukiwa tumejaa 'cultural prejudice'. Waswahili wanasema maamuzi mbele ya kitamaduni. Cha msingi, hebu jaribu kuwa kwenye viatu vya mwenzako. Mshikachuma aligusia kidogo hili aliposema kila mtu ana uhuru wa kuvaa anavyotaka.<br />
Mimi, kwa maoni yangu, naona ikiwa mwanaume anaona ni vema kugaa blauzi na sketi, na hakai uchi mbele za watu - ruksa. Ikiwa wewe husuki, na huoni vibaya mwanaume wa Kimasai kusuka na kuvaa hereni, hebu waache wengine waishi kutokana na wanachoona kinafaa.<br />
Ufike wakati tuachane na udikteta wa kihisia na kitamaduni na kushikilie tunu zilizo muhimu kwa maadili yetu.<br />
Mbona siku hizi hakuna kelele kwa wanawake wanaovaa mashati na suruali? Tumezoea. Kuna ubaya? Hakuna.<br />
Hongera mleta mada. ni nzuri
<br />
<br />

Big up buddy! Umezungumza ukweli mtupu! We have to think positive.
 
Kabla sijasema lililopo moyoni tafadhali sana,
tena nawaomba tafadhalini sana...
Msitumie 'culture' au 'utamaduni' katika kutetea hoja zenu whether katika kukubaliana na topic ama kuikataa!
Natanguliza shukrani.
 
Kabla sijasema lililopo moyoni tafadhali sana,<br />
tena nawaomba tafadhalini sana...<br />
Msitumie 'culture' au 'utamaduni' katika kutetea hoja zenu whether katika kukubaliana na topic ama kuikataa!<br />
Natanguliza shukrani.
<br />
<br />
buddy hapo lazima culture itumike! kwani maana ya culture ni nini? Kuna otofauti kati ya culture na life style?
 
Kufanya hivyo hakuna faida yoyote ila ni ulimbukeni na ni upumbavu mtupu kwani wao ukiwaulizia hawana majibu!
Wabongo tumekuwa na tabia ya kuiga mambo mabaya tu na tunakuwa wabunifu wa mambo ya ovyo ovyo kila kukicha. Tumeshindwa kubuni njia ya kutatua tatizo la umeme tumekaa kubuni kufaa kata k.
Kwa upande mwingine hawa dada zetu ndo siku hizi hamna kitu kabisa kwa upande wa mavazi yaani ni zero kabisa! Ni upumbavu, ulimbukeni na ni ujinga kabisa!
Mkuu... you are too harsh...Na pia hata kama kuna tatizo la umeme...maisha lazima yaendelee kwa upande mwingine...Kumbuka wanaofanya haya ni 'teenagers'...Sasa kwa akili yake unataka akae aje na 'solution' ya umeme..kweli?. Kama walivyosema wadau wengine..haya ni mambo ya mpito..na sanasana yanaenda kutokana na 'rika',aina ya malezi..pengine na 'taaluma'..(wanamuziki..n.k)
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini siyo mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - Nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.
utaambiwa ndio mambo ya kisasa hayo
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli)


Weka picha tuone. Mia
 
ni mambo ya kawaida kabisa na ni part ya life dat y unakuta ni doctor na anakunywa Gongo just ni optiion bhana acha watoto wale gud tyme mbona utakuta mzee anatembea na mtoto wa miaka 20 na kujana anatembea na shuga mamy kula urefu wa kamba yako xorry 4 dat
 
Hahahaha..hicho ndo kizazi cha jk bana...kila kitu ki jk jk..hadi kuvaa..tehe tehe..
 
Heshima yenu wakuu!

Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea.
Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri sana lakini cha kushangaza utaona upande wa nyuma
kaachia inaning'nia chini ya ****** na hana wasiwasi wowote! wenyewe wanaiita kata K.

Pili utakuta mwanaume ametoga masikio yake na kavaa heleni (vipuli) au utakuta ana ring kwenye ulimi au kwenye lips zake.
Wanaume wengine wanafikia hatua ya kujichubua na kusuka nywele (lakini siyo mashoga) wanatembea barabarani na hawana
hata mshipi wa aibu! Tena cha kushangaza unaweza mkuta au wakuta ameambatana na mwanamke mzuri na mwenye heshima
zake.
Jamani wanaume kuvaa chini yamatako,hereni,kujichubua na kusuka kuna faida gani? na wanawake wafanye nini? Na kama kuna
faida basi tuelezane ili sisi tusioelewa ili tufunguke na tuone kitu cha kawaida tu. - Nawasilisha kwa mgongano wa kimawazo na kimtizamo.

wewe kama huwezi kuwa kama wao, waache! Kuwafuatilia ni sawa na kigeugeu. Just be u, and waache wao wawe kama wao. Kwanini tuwapinge wakati wao wameamua hivyo? Wewe wanakuadhiri vipi? Mbona watu mnakuwa na tabia ya kutaka kila mtu awe kama wewe utakavyo? Tunatakiwa tujali maisha yetu na sio maisha ya watu.
 
Inawezekana ndo Uhuru wakujiamulia mambo, Inawezekana ndio maendeleo ya Binadamu wa leo. Lakini hata hayana mantiki. Ni uigaji mamboleo!! Kila binadamu katika uso wa dunia hii ana utamadani wake na mazingira yake unapoacha utamaduni wako na kufuata wa mtu mwingine pasipo sababu ni ufinyu wa mawazo. Na hasa hasa kwa wale tunaomfuta Yesu basi ni dalili kuwa yuko karibu kuja. Maana biblia imeandika mtakapoyaona hayo mjue karibu nitarudi.
 
Hii hali inanikera sana, hata akina dada nao tena wanvaa hizo kata Kei. Sidhani kama kila tunachoona kwenye Tv tuge blindly...
 
Back
Top Bottom