Recent content by Hollywood

  1. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Hata ukitoa mifano1000 ni ya kujenga kweli na kuelimisha. Wanaume ambao wanahangaika na kuumizwa na wanawake wakisoma hizo post zako elimu tosha...safi sana unafaa hata kutoa semina za mahusiano. MUNGU akubariki sana upate mwanamke ambaye ataendana na wewe na mtapiga hatua kubwa sana katika...
  2. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Una akili sana unless otherwise ungekuta umemkubali wakati mschana ni mchafu wa tabia na angekuletea magonjwa na hata wengine wanashirikiana na majambazi.
  3. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Halafu hapa majuzi kati kulikuwa na topic moja hivi usiku ilikuwa inachangiwa comments kulikuwa na mwanamke mmoja na mwanaume walikuwa wanaonyesha kujuana sana kwa chati zao halafu hizo chat ni kama sex chat nahisi ndio hao watakuwa wamemuumiza huyu bro.
  4. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Ndio inavyotakiwa ujitambue hivyo ili usipelekeshwe na chochote maana hii dunia haina huruma wala watu wake hawana huruma. People are so selfish wanaangalia maslahi yao tu binafsi
  5. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Angempotezea huyu mwanamke sababu mara nyingi maumivu ya mapenzi humfanya mtu akose nguvu ya kupigania maisha. Angemwomba Mungu amsaidie ili aweze kumsahau kabisa na kuendelea na maisha mengine.
  6. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Hajampatia huyo mwanamke JF bali alikuwa naye tangu siku nyingi ndio akaanza kubadilika na kujiunga JF na kufanya huo ujinga
  7. H

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Bro nakushauri wataje wanatumia majina gani hapa JF tuambie huyo mwanamke na mwanaume majina wanayotumia hapa JF halafu tudeal nao sisi. Kumbe this is serious. Naomba unisamehe kama nilikujibu lolote ambalo halikukupa faraja na likakuumiza, pole sana ila huyo mwanamke hakufanya vizuri na...
  8. H

    Ijue gari yenye cc kubwa iliyozinduliwa juzi Dubai

    Watu kuweni makini basi mnapoleta maada yoyote!!! Sawa mnahitaji comment na like basi atleast leteni maada ya uhakika ambayo kweli inastahili comment na like.
  9. H

    Wakina dada acheni wizi mkikaribishwa majumbani kwetu

    Safi kakomeshwa na bado!!!! Aache uzinzi ajifunze kujiheshimu ili kesho awe mume mwema kwa mke wake na baba mwema kwa watoto wake.
  10. H

    Wafahamu Mastaa "ZILIPENDWA"

    Ray Afya drinking water
Back
Top Bottom