Jiangalieni kwanza ninyi Magamba mjisafishe na ndipo wengineo watajisafisha mana uko kwenu kila m2 ni msemaji wa serikali inakuwa kama jamii ya kambale wote wana ndevu huwezi kumjua Baba Mama Mtoto Mjukuu wote wana ndevu.
[QUOTE=Mshume Kiyate;Ndio naona post yako leo kumbe na ww i Lumumba members?Wenzio toka jana na leo sijaona post zao cc HAMY~D(CHLIS LUKOS)(CHILL SAUSE)SIMIYU ONE)MWABEJA SANA)vijana wenzangu mmepotea sana anyway ha2jui labda wenzetu???????????????????????????????????????????????????mnafadhiliwa.
Ktk magazeti hapa Tz ukichelewa kuamka mpaka saa nne haukuti kopi hata moja kwa wauza magazeti ni DAIMA 2weni wakweli haswa kesho.Ayo mengine hayauziki.
Chris lukosi(hauna lolote uko uk nadhani ww ni mbeba mizigo2)ingawa unaishi abroad bt hauna upeo njoo 2shike jembe 2lime mbona vijana 2metoka kwa kilimo2 na maisha mazuri sana ha2tumiwi kama ww?pato langu kwa mwaka huu ni milioni arobaini na tano nikiuza mazao yangu kwa huu mwezi wa saba?je...
Watanzania 2badilike sana hauwezi kupanda m.Taazao utegemee yatasitawi pasipo kupalilia palizi mbili hata tatu.Binafsi iyo deci niliskia na hata baadhi ya staff wenzangu walijiunga bt walilia na kusaga meno.Tatizo ss wa watanzania 2napenda vi2 vya mteremko hata babu wa loliondo alibuni2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.