Recent content by Hmaster

  1. Hmaster

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

    We mbulula kwelikweli! sa nguvu ya kupigana utaipata wapi kama hivyo vifaa huna vya kutosha na vya kisasa? kwani wanapigana makonde na mateke? Fikiria kabla ya kuandika mbulula! :bange::bange::bange:
  2. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yako wa karibu ndio mrithi wa mwenza wako

    Duh we kale aisee, unarudi!
  3. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yako wa karibu ndio mrithi wa mwenza wako

    Kwa hiyo ushamjua mrithi wako? mtaje hapa.
  4. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yako wa karibu ndio mrithi wa mwenza wako

    Amini amini nawaambieni ya kwamba yule unayemwona kama ndio rafiki yako kipenzi saaana kiasi hata mpenzi au mwenza wako anajua namna mlivyoshibana katika urafiki wenu ndo huyo huyo anakuja kuwa mbadala wako kwa mpenzi au mweza wako punde tu utakapokufa. Najua wengi watajifariji kwa kusema...
  5. Hmaster

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya BAVICHA DSM 04/02/2015

    Kaka, humo kwenye red kama umekosea vile! Naona siku na tarehe hviendani, au m ndo naishi sayari nyingne?
  6. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

    Tatizo hilo! Hapo lazima mtavaa madude kunako, sa shida ya nini? Kula chako cha halali bana, mungu akishuhudia! TehTeh
  7. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

    Sina wasiwasi wa kuibiwa kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi mwanaume bwana!
  8. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

    zaidi ya miaka kumi na bado naenjoy balaa
  9. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

    Mi nipo chamani bana! Utalalaje na nguo wewe?
  10. Hmaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

    Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima...
  11. Hmaster

    JamiiForums Tanzania UKAWA wanyaka nyaraka juu ya Mpango wa kifisadi wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa

    We mama yaani kila nkikuonaga mi siwezagi hata kuchangia. Njoo ukawa basi!
  12. Hmaster

    JamiiForums Tanzania Mijini kwa utapeli

    Nina uhakika kwa wale waishio mijini na hata katika baadhi ya vijiji aidha wamewahi kutapeliwa au kusikia mkasa wa mtu fulani kutapeliwa au kuibiwa kwa ujanja ujanja flani. Mimi hapa nina mkasa mmoja ambao ulimtokea mwenzetu mmoja enzi tunapanga nyumba moja maeneo ya flani DSM. Nyumba tuliyokuwa...
  13. Hmaster

    JamiiForums Tanzania Nipo tayari kuongozwa na shetani huyu!

    Shetani wa kaskazini? Kama akipangwa huyo agombee mi nitampigia wa upande wa binadamu. Nshakwambia kule kwa mashetani ni shetani mmoja tu ndo ananishawishi. :bange:
  14. Hmaster

    JamiiForums Tanzania Nipo tayari kuongozwa na shetani huyu!

    Usinishambulie tweve, we unadhani ni nani atatufaa katika himaya yetu?
Back
Top Bottom