MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
mi mke wa mtu tayari
na mimi mume wa mtu
inakuwa wewe mke wa mtu na mimi mume wa mtu
mke na mume wa watu
mi mke wa mtu tayari
duh, wenzio hizo raha za kwenye ndoa takatifu tulishazitafuna miaka mingi sana, kilichobaki kama ni kutumia mipira ni kwaajili ya kulina mimba isitunge tusijekujikuta tunazaa mtoto wa nane kwenye familia.Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.
Sina wasiwasi wa kuibiwa
kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha
wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia
yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi
mwanaume bwana!
Dunia hii utampata wapi mume/mke wa nyani?mi mke wa mtu tayari
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.
shoga kwa uchokozi tu upo vizuri, muda wetu ukifika tutajiunga tu kwenye taasisi jamani lol,
Hebu nikumbushe tena...
Dunia hii utampata wapi mume/mke wa nyani?
Hebu nikumbushe tena...
hahaaha
Mambo? Hongera kwa kazi. Nisalimie shemeji....Unavituko lol
Sina wasiwasi wa kuibiwa kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi mwanaume bwana!