Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

Penzi ndani ya ndoa tamu jamani

Kuna zaidi ya hayo mambo kwenye ndoa. Ila karibu kama ndio umeingia utajionea nakupata experience kadiri siku ziendavyo
 
na mimi mume wa mtu

inakuwa wewe mke wa mtu na mimi mume wa mtu

mke na mume wa watu
Tatizo hilo!
Hapo lazima mtavaa madude kunako, sa shida ya nini?
Kula chako cha halali bana, mungu akishuhudia!
TehTeh
 
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.
duh, wenzio hizo raha za kwenye ndoa takatifu tulishazitafuna miaka mingi sana, kilichobaki kama ni kutumia mipira ni kwaajili ya kulina mimba isitunge tusijekujikuta tunazaa mtoto wa nane kwenye familia.
 
Hongera sana mkuu. Na mitihani huwepo pia, itakapotokea kimbilio la kwanza liwe Muumba wako.
 
Sina wasiwasi wa kuibiwa
kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha
wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia
yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi
mwanaume bwana!

pole pole wasikuskie umesema? mhhhh wew hujui tena siku ukija gundua analiwa na nan.??? we andika urithi mapema
 
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.

Ingekuwa tamu kama unavyoeleza tusingesikia vilio na malalamiko kwenye ndoa. Yaani we unaona raha kugegeda muda wote kisa ya bure! unaotaka unadhani yeye anafurahia, anavumilia tu hana pa kukimbilia
:msela::msela:
 
Sina wasiwasi wa kuibiwa kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi mwanaume bwana!

Weweeeeeeeeere!!!!!!! wapi mume bora na sio bora mume,,,,,, endelea kuenjoy kwa raha zenu...........
 
Back
Top Bottom