Kama vita vya damu na nyama anae wahimiza baba yao!
[emoji116][emoji116]
Yohana 8
44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo...
Tatizo ni la Abiria kushindwa kumkemea dereva aache mwendo kasi hadi anawaua[emoji24][emoji24]
Watakao nusurika ndoo wanatangaza dereva alikuwa mwendo kasi!
Naomba wahusika wawashughulikie watu wa hivyo bila huruma ili iwe Fundisho...
ww ulijua mrusi aliibalance vita Yetu na uganda ili auze silaha zake??
Mganda alimuuzia ndege vita!
Sisi katuuzia heat seaking misilles (Streiler) za kudungulia ndege!
Kama unakumbuka ndege za Amini kuna wakati zilitamba sana Mwanza, baada ya sisi kuishiwa mabomu ya kuzidungua!
Kumwendea mrusi...
Tatizo lako ni mgolo wa ndan!
Tiba mbadala!
[emoji116][emoji116]
Paka mafuta ya nyonyo (local made sio ya viwamdanj mbarika unayapata kwenye maduka ya dawa Asili!) sehemu ya haja kubwa(anus) mara mbili kutwa!
Wakati wa kulala paka utomvu wa alovera!
Kabla ya kula ule chungwa.1 na yale maganda...
Fanya jaribio hili utspata jibu!
Andaa chakula kikiwa na ndizi.3!
Mkisha maliza kula kila mmoja atakula ndizi.1;
Ukiona ile ndizi ya.3 kaila yeye huyo atakuua na njaa!
Ukiona anakuhimiza uile ww hiyo ndizi ujue huyo ni mnafiki!
Ukiona kaimega ile ndizi kala ½ na nusu kakupa ww nawe ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.