Hili la kukosa umeme linatutesa mno mno. Halafu tunadanganywa kama watoto wadogo. Ni kwa nini gas ya Mtwara izalishe mw 350 tu wakati mahitaji ya nchi yanafikia mw 1000 na wanajua mabwawa yatakauka? Tunaingia kwenye deni kubwa la gas na bado hatuna umeme wa kutosha. Mi machozi yananitoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.