Bila shaka jamaa , aligeukwa na mzungu huyo, wala siamini kama alikuuza kwa mzungu , kama engi wanvyofikiri. Na nachofikiri pia hana ndoto kabisa za kukupata tena na kuwa hakuna jambo mnaloweza kulijenga tena… (alikwishakata tamaa)
Kwake ni heri asikusikiee ,
Sasa unataka mrudiane!!!? Halafu huyo mzungu na familia yanu itakuwaje, ukifanya hivyo kila kilichopo around u, kitapotea . je upo tayari kuyaishi maisha hayo?!
Yako mengi huko anakotaka kufukua ajue, bora aache kama ilivyo na aendelee na maisha aliyonayo. Maana kujua huko kunaweza kubadili kila kitu kwa ndoa yake na mzungu ambaye kwa maelezo yake anaonekana kuwa ni perfect husband...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.