Mwenye tatizo kuhusu magari

Habari mkuu,nina Teriors engine K 3,inatatizo,nikiwa kwenye foleni nimeweka drive D na kuanyaga brake gari inashuka silencer na kuzima.
Mpaka niweke P niwashe ndio niweze kuondoka.
Tatizo ni nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo shida yaweza kuwa idle sensor ndio jibu la haraka kama gari iko powa haina miss wala shida yoyote.

Je vipi ukizima ac bado inafanya hivyo.inazima?

Au ukiwasha na kuweka p rpm huwa inakuwa kwenye ngapi?.

Na ikiwa kwenye p ukiwasha ac silensa huwa inaongezeka au kupungua na inafika kwenye ngapi?. Na vile vile ukiweka d inasomaje
 
Hapo shida yaweza kuwa idle sensor ndio jibu la haraka kama gari iko powa haina miss wala shida yoyote.

Je vipi ukizima ac bado inafanya hivyo.inazima?

Au ukiwasha na kuweka p rpm huwa inakuwa kwenye ngapi?.

Na ikiwa kwenye p ukiwasha ac silensa huwa inaongezeka au kupungua na inafika kwenye ngapi?. Na vile vile ukiweka d inasomaje
Mwanzo ilikua na mis fundi akaionda.
Nikiwasha ac haina tatizio,ila ikiwa kwenye D kotk foleni inazima.
Nikiweka P silencer inapanda,rpm inazidi kidogo 1.5

Fundi akisema ashushe nati ya silencer kidogo,inakua inazima kila mara hata unapo badili gia toka D au P kwenda Riverse.

Oil,plug na filter nimebadilisha tayari.
Hapo shida yaweza kuwa idle sensor ndio jibu la haraka kama gari iko powa haina miss wala shida yoyote.

Je vipi ukizima ac bado inafanya hivyo.inazima?

Au ukiwasha na kuweka p rpm huwa inakuwa kwenye ngapi?.

Na ikiwa kwenye p ukiwasha ac silensa huwa inaongezeka au kupungua na inafika kwenye ngapi?. Na vile vile ukiweka d inasomaje


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahanini wakuu kwakutowajibu, naona huu uzi umevamiwa na matapeli wajuaji wanaotaka kupata kidogo yaani hela ,

Mimi nilijitolea kuelezea na kutatua matatizo ya watu bila kuhitaji hata mia,

Lakini naona wahuni wameuvamia na wanawavutia watu PM wawapige hela, hivo nimeamua kukaa pembeni.
 
Ni vema uchangie na usaidie watu kuliko kuleta dharau.

Mimi hapa sipo kuhitaji hata shiling mia ya mtu, nipo kutoa kile kichopo akilini mwangu baada ya kuisomea hii taaluma. ,hivo kama kuna kitu changia sio kuanza KUVURUGA UZI

Haileti maana ,
Usijali bro Aroon,
Kuna watu wana wivu wa maendeleo ya watu hata kama hawawajui, na hawapendi kuona wengine wanapata msaada hata wa mawazo.
Hao watu wa namna hiyo wanaitwa .........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahanini wakuu kwakutowajibu, naona huu uzi umevamiwa na matapeli wajuaji wanaotaka kupata kidogo yaani hela ,

Mimi nilijitolea kuelezea na kutatua matatizo ya watu bila kuhitaji hata mia,h hahaha
Lakini naona wahuni wameuvamia na wanawavutia watu PM wawapige hela, hivo nimeamua kukaa pembeni.
Hahaha mkuu pole sana mbona kama umepanic watokwa na povu jingi..hembu acha.kuwa na tabia za kike za kususa mafundi huwa hawasusi bwana huwa wanapambana mpaka tone la mwisho..

Inamaana wewe hujawahi fanya kazi mbele au umezungukwa na mafundi zaidi yako harafu wanalusha maneno yadharau kuwa huwezi kutengeneza na hujui lolote ukakomaa kuwaonyesha kuwa unaweza au utaamua kususa??.
 
Niljaribu kueleza kua matatizo ya gari/mifumo sio kama uzazi ukampa mtu wosia wako akaitatue shida kwake - na hata pale kuna taadhari kibao. Ila lazima yaangaliwe/yakaguliwe kwa case by case basis - kila mmoja kivyake. Haiwezekani KULITAMBUA SHIDA KWA UHAKIKA (nasisitiza sababu wengine wako vizuri at selective understanding/comprehension) kwa kupata maelezo mawili matatu toka kw dereva! Utapata ishara tu au mwongozo, lazima ukague na uhoji issue vizuri ili kilulitatua vikamilifu.
Naamini huu usanii uliopenyezwa kwa hii fani na kwenye magari na madereva umeleta madhara mengi. Waeza kua unashinda kwenye kiti cha derva kama dereva wa dala, ni kweli kudhania unaelewa gurudumu zaidi ya mziba pancha? Waeza kua unamiliki Benz S600, ni kusema unafahamu kinachoendelea mle ndani ya engine?
Unavyokereka abiria wako anapojidai anaweza kuliendesha gari bora kukuliko we, hivyo pia unawakera mafundi ukijidai fundi. Ni jambo la kutia wasiwasi, mambo ya kitaalamu kujadiliwa kama umbea na ngonjela zisizo na maana.
 
Nitawezaje kujua kama feni ya kupoza rejeta inafunguka kwa wakati au laah?Naomba unisaidie sana Gari yangu inatumia Injini ya 2AZ-FE na ninapoendesha inatoa joto sana kwa chini nahisi ni Mfumo wa Upozaji lakini pia nikifungua mfuniko wa rejeta asubuhi au ninapoliwasha kwa mara ya kwanza na kuliwasha linashusha maji nje usawa mpaka wa boneti linapofunguka je hili tatizo ni nini? Naomba msaada wako. Lakini nikiendesha Naona lipo poa tu na wala halichemshi
 
Gari yangu inakunywa mafuta nifanyeje? Injini yake 6 cylinder
Ulitaka inywe nini?? joks

Je umejuaje kama inakunywa mafuta? Mwanzo ilikuwa inatumia lita 1 kwa km ngapi na sasa inatumiaje?
 
Nina mercedes benz ML 320 fundi alikuja akaifanyia diagnosis akagundua kuna kifaa kinaitwa air mass na slider ndio vimekufa na gari lilipoteza uwezo wa kutembea je hilo tatizo linasababishwa na nini na hivyo vifaa kazi yake nini mkuu msaada wako
 
Mkuu habari. Shukrani kwa uzi huu. Gari yangu ni ist na inashida nikiendesha accelerator speed haizid 3 au 4 na ikizid zaid hapo kama unakanyaga mafuta sana inatoa mlio flani....kama pa.pa.pa.pa.pa..... na ukiwa unapanda mlima inakosa nguvu kiasi kwamba haizidi 30km/hr kilimlima chochote...yaaaani mwinuko wowote. Ni nini shida mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Speed Governor ichekiwe vizuri sijajua kwenye magar huwa mnatumia ipi kati ya mechanical governor au electrical governor....... Nipen jibu hapo zen nielezee how inapelekea hilo tatzo
 
Speed Governor ichekiwe vizuri sijajua kwenye magar huwa mnatumia ipi kati ya mechanical governor au electrical governor....... Nipen jibu hapo zen nielezee how inapelekea hilo tatzo
Mkuu sijakuelewa...speed governor kiaje??
 
Mkuu sijakuelewa...speed governor kiaje??
Engine inapowaka Governor hupeleka mafuta kwa kiwango sahihi ili engine ibakie katika speed fulani iliyokusudiwa

Ukikanyaga mafuta unaifungua governor ili iongeze mafuta kwenda kwenye combustion.

Naishia hapo coz ni somo refu sana
 
Back
Top Bottom