Recent content by herzegovina

  1. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Namna CCM wanavyonufaika kwa kuunganisha mfumo wa NEC na mfumo wa NIDA kufanikisha wizi wa kura

    Point kuu...independent obsevers hawana madhara yyte regardless of their opinion kuhusu uchaguzi. Wengine huwa wameshalambishwa asali kabisa. Je umeona wapi uchaguzi wa nchi ya kiafrica ukatikiswa na independent observers hata uwe na madudu vipi??
  2. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Kura zinaibiwa vipi kupitia NIDA?

    Mfano unajua kabisa fulani atashinda kwa kura 73,512 sasa si lazima uingize kura feki kuendana na hayo matokeo yako??
  3. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya mitandaoni yazidi kuzua balaa. Wakopaji wasimulia visa na changamoto walizozipitia baada ya kukopa!

    Sasa hivi wanavuka mipaka....wanatuma meseji za udhalilishaji sana...mfano wanakutangaza shoga. Mbaya zaidi hawajulikanagi walipo yani uwezo wa kuwapata huna
  4. herzegovina

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Ubunge wa CCM: Nimekuta Nati za Matairi ya Gari langu zimefunguliwa tukiwa njiani kwenda kwa Wajumbe

    Na ukikatwa huna pa kukimbilia maana upinzani umeuliwa!! Dah
  5. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Kamfukuza beki 3 kisa mumewe anamla, akajichanganya akaliwa na mtoto wake

    Mwanamke hisia zake zilikuwa sawa...mume alimfuata HG akalala naye huko huko
  6. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Mliosema Uchaguzi Mkuu hauna uhalali kimataifa, Umoja wa Ulaya umeomba kuwa Waangalizi wa uchaguzi

    Wanataka ushahidi.......maana wasije kusema wanasingiziwa.
  7. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Makalla asema mchakato uteuzi wa wagombea CCM hadi Julai 28, 2025

    Unaambiwa Aus Aresti imehusika kwa baadhi ya wajumbe
  8. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Tetesi za Polepole kupewa uongozi wa Juu Nchini

    Pale unapofikiria unaua upinzani kumbe unazalisha upinzani wenye nguvu zaidi na wa kukutetea anakuwa hayupo. Somo zuri sana hili.....
  9. herzegovina

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni ukweli ulio wazi kuwa Rais Samia alikuwa anamalizia ngwe ya mwisho ya hayati Magufuli. Mchakato mwingine ulipaswa kuanza upya

    Na inavyoonekana ndiyo yalikuwa makubaliano ya kumwachia kiti. Kwamba malizia hii miaka 4 utulie.
  10. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Inaonekana anapitia wakati mgumu sana

    Hisabati. Katika watanzania 1000, mmoja tu ndio anaweza kujiuliza kama wewe kipindi Cha uchaguzi Kumbuka kipindi Cha Lowassa 2015...hakuna aliyejiuliza maswali ?
  11. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Je, Tumeikosa Huruma Yetu ya Kibinadamu?

    Hiki kitu nasema kila siku. Kuna wasanii walifika walipo kutokana na uhuru wa habari na uhuru wa siasa. Mpoto alikuwa mkosoaji "kiaina" wa mkwere. Masanja alikuwa anamwigiza Pinda, Kuna Lowassa na komba Hawa walikuwa wakiigizwq na mpoki na wakuvwanga. Leo hii ukikosoa Serikali wanakushambulia...
  12. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Katika watu ambao CDM ilitakiwa iende nao kwa staha basi TAL. yani anachukua fomu mnajidai kama hamumuoni na mbowe naye anachukua mnaenda kwenye uchaguzi mnamchagua mbowe. Hapo Lissu anakuwa kwenye mtego wa demokrasia inabidibakaushe. Lakini Lissu akishindwa kwa kujua kwamba kuna vijana...
  13. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Pandikizi linalopigwa risasi 16 😄
  14. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

    RC kaambiwa "zinatengenezwa" Kaamini
Back
Top Bottom