future tech
JF-Expert Member
- Aug 26, 2023
- 305
- 455
Nawapa pole wazazi wako walipoteza ada.
Ukiwa na uelewa finyu usihoji mambo mazitoUchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Wizi wa kura ulikuepo katika Analogy(masanduku ya kura yanasombwa na kupachikwa) way.Sahivi CCM wametoka kwenye huo mfumo ndio maana waliamua kufanya integration ya database yao,NIDA na tume ya uchaguzi hili zoezi liwe jepesi(kuna thread inaongelea ku-doubt idadi ya wapiga kura iliyotolewa na tume,unajua kwanini tume iliamua kutoa taarifa iliyowachanganya watu?)Uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995, hii mifumo ya NIDA ilianza 2020 yaani Kuwa na network zinazoweza kuingiliana.
Kwahiyo anachotuaminisha Polepole huu wizi wa kura umeanza 2020, kabla ya hapo yaani 1995,2000,2005, 2010 wizi wa kura haukuwepo na mambo yalikuwa shwari bara na visiwani.
Hebu nifafanulie ni ugumu upi wa kuchakachua matokeo kwenye database ya iNEC pekeyake,na iwe rahisi kwa integration ya hiyo mifumo mitatu...na Sheria yetu hairuhusu kupeleka matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani?Wizi wa kura ulikuepo katika Analogy(masanduku ya kura yanasombwa na kupachikwa) way.Sahivi CCM wametoka kwenye huo mfumo ndio maana waliamua kufanya integration ya database yao,NIDA na tume ya uchaguzi hili zoezi liwe jepesi(kuna thread inaongelea ku-doubt idadi ya wapiga kura iliyotolewa na tume,unajua kwanini tume iliamua kutoa taarifa iliyowachanganya watu?)
Mfano unajua kabisa fulani atashinda kwa kura 73,512 sasa si lazima uingize kura feki kuendana na hayo matokeo yako??Sasa kama ni hivyo wana haja gani ya kutengeneza kura feki ?
1. kura kuingizwa kwa nguvu zimeshapigwa/tikiwa.Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Sijaelewa swali lako lakini kwa elimu yangu tu ndogo ya TEHAMA kutoka chuo kapuni ni kwamba ukishafanya intergration ya database kama alivyosema Mr.slow slow ni kwamba kunakuwa na kushare information.Maana yake ni kwamba Admin wa Database ya CCM anakuwa granted permission ya kuaccess,edit,delete or modify any data in other servers intergrated in the system(inategemea kapewa access ya namna gani).Ni somo gumu na lina upana wake nimejaribu kueleza ambacho ni chepesi kwangu na kwako(labda ungeuliza swali vizuri ningejua nini kinatakiwa)Hebu nifafanulie ni ugumu upi wa kuchakachua matokeo kwenye database ya iNEC pekeyake,na iwe rahisi kwa integration ya hiyo mifumo mitatu...na Sheria yetu hairuhusu kupeleka matokeo ya uchaguzi wa rais mahakamani?
Bado hujasema, utasema tu. Katazame ni wapi majumuisho hufanyika, na nani hutangaza mshindi. Ni hivi, za mwizi 40.Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Ameomba msamaha kwa aliyoshiriki huko nyuma. Ama hujasikia hilo?Uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995, hii mifumo ya NIDA ilianza 2020 yaani Kuwa na network zinazoweza kuingiliana.
Kwahiyo anachotuaminisha Polepole huu wizi wa kura umeanza 2020, kabla ya hapo yaani 1995,2000,2005, 2010 wizi wa kura haukuwepo na mambo yalikuwa shwari bara na visiwani.
Sema hili jamaa limekaa kama DckMajibu ni kama haya kiongozi
Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Uchaguzi mkuu tunawapigia kura madiwani, wabunge na raisi. Baada ya kupiga kura zinahesabiwa na matokeo ya kura za udiwani, ubunge na uraisi yanabandikwa kwenye kituo husika, Yale ya udiwani yanajumlishwa kwa ngazi ya kata na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa diwani. Ya ngazi ya ubunge yanajumlishwa kwa ngazi ya Jimbo na mshindi hutangazwa papo hapo kuwa mbunge wa Jimbo husika, ni za raisi tu ndio hutangazwa tume makao makuu.
Sasa najiuliza juu ya muundo ya huo mfumo wa wizi kwa ngazi ya Jimbo na kata upoje kupitia hiyo combination ya NEC+NIDA+CCM? Au hapo wahuni hawana interest kabisa kwa ngazi ya madiwani na wabunge?
Swali lako mbali sana ... Kuna haja ya kutapanya mabilioni ikiwa unajua kabisa utashinda?Sasa kama ni hivyo wana haja gani ya kutengeneza kura feki ?
Mimi binafsi Sina Cha kumsamehe kwasababu hana alichonikosea,,, vyama ndio vinaweza kunikosea ikiwemo CCM...Ameomba msamaha kwa aliyoshiriki huko nyuma. Ama hujasikia hilo?
Hawa UWT ni wanufaika wakubwa wa huu mfumo mbovuNi sawa mtu kuwa na passwords kinyemela kwenye vyungu vya bank. Hapo huoni kuwa pesa zote zake humo!
No reforms no elections!