Recent content by Heroine CA

  1. Heroine CA

    Mambo 13 usiyoyajua kuhusu kakakuona

    Elimu nzuri. Asante
  2. Heroine CA

    Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

    Wengi wenu akili sijui mnaziacha wapi? Hivi kwa akili zenu aliyofanya Makonda ni initiative yake yeye Mwenyewe? Yaani mnaona kivuli lakini jua au unakotoka mwanga hamuoni? Ajabu.
  3. Heroine CA

    Ukiwa na Fikra huru, utagundua kuwa makundi mengine si ya Kigaidi

    Suala la ugaidi inatakiwa kuliangalia kwa upana. Sio kwa kundi au nchi. Hili ni tatizo la dunia nzima kwa sasa. Sio Marekani au Ulaya peke yake. Kwani walipopiga ubalozi Dar na Nairobi waliokufa ni wamarekani tu? Kama una unaamini US ni world super power na ana influence kwenye uchumi wa dunia...
  4. Heroine CA

    Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Hii vita sio kuwa ni ngumu. Lakini yale maneno ya Mwalimu aliyoyasema wakati anataka kumpiga Idd Amini (Nia, Uwezo na Sababu) - kwa vita hii ya dawa kunachokosekena ni NIA. Dhamira haipo. Ndio sababu unaona wanaosumbuliwa ni hawa watumiaji na wasambazaji wa chini. Kama dhamira ipo wawakamate...
  5. Heroine CA

    Nimehamisha elfu kumi kutoka NMB kwenda tigo pesa nimekatwa elfu 4

    Elfu 10 unapeleka bank? Kusumbua watu tu. Foleni ndeefu kumbe umekomaa na elfu 10. Kufa wewe siku yako unaijua?
  6. Heroine CA

    Nimehamisha elfu kumi kutoka NMB kwenda tigo pesa nimekatwa elfu 4

    Wewe umetumwa sio bure. Hicho kielfu 10 chako ndio cha kuleta uzi humu? Ulitaka ulipe ngapi sasa. Nenda tawi la NMB uliza vizuri sio unatoka povu hapa. Hakuna benki yenye makato hayo hapa TZ. Uchochezi.
  7. Heroine CA

    Msimpuuze Mange Kimambi she has a man behind her

    Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kushindana na serikali ni sawa na kuzuia upepo wa mikono.
  8. Heroine CA

    Traffic Police wa Bagamoyo Road wana njaa kali

    Tumewachoka. Traffic kero number 1
  9. Heroine CA

    CCM na Serikali, tunaomba hizi kodi za 30,000 za traffic mzifute jamani, ni kero na haziko kisheria

    Suala la hawa traffic police nadhani imefika wakati tuache unyonge. Hii nchi yetu wote. Mambo muhimu ni haya; 1. Tufanye bidii tujue sheria za makosa ya barabarani. Kama kuna mtu anaweza kuziweka humu jamvini afanye msaada huo. Tuwe na uhakika kwanza sheria inasema nini? Yaani haki yako ni...
  10. Heroine CA

    Asilimia 15 ya Bodi ya Mikopo kuanza kukatwa kwenye mshahara ghafi(basic) kuanzia mwezi Januari

    Inategemea neno masikini kwako lina maana gani. Wewe unekurupuka? Umasikini wako unalingana na umasikini wa wengine? Kama hujaelewa, hebu wewe na mzee Mengi nendeni bank mkaombe mkopo uone nani atapata. Anayekopesheka maana yake ana uwezo wa kulipa rudi shule wewe.
  11. Heroine CA

    Mvuto na upepo wa Magufuli umepotea au mitandao tu?

    Haya mapendekezo ni mazuri na rahisi kwenye mdomo au karatasi kuyatekeleza sasa! Hata Rais pamaoja na madaraka yake hawezi kubadili kila kitu kwa siku moja au mwaka mmoja. Magufuli ana mwaka mmoja ofisini, lakini watu wengi wanamuuliza masuala yote aliyoahidi. Wanachosahau ni kuwa ahadi hizo ni...
  12. Heroine CA

    Mvuto na upepo wa Magufuli umepotea au mitandao tu?

    Hata Kikwete alikua na wimbo huo. Unajua suala la mafisadi ni kama issue ya dawa za kulevya. Mahakama inafanya kazi kwa sheria. Na ili kumtia mtu hatiani ni lazima iridhike na ushahidi. Sasa hata kama fulani "ANASEMEKANA/ANATUHUMIWA" kuwa ni fisadi, nani ana ushahidi wa kuiridhisha mahakama ya...
  13. Heroine CA

    Alivyotumbuiza Diamond na wenzake Gabon

    Mimi pia nimeona hilo. Lakini kwa sababu hatupendi kuambiana ukweli kwa ajili ya kuboresha hasa katika international stages kama hii golden chance inabidi kumsifia tu. Hata hivyo, amafika mbali. Na ana talent. Tumpe support apande juu zaidi. Hongera Diamond!
Back
Top Bottom