hzo ni sababu zako ww, ila hcho kigezo lazima kisimame hapo.
Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?
Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
unaleta porojo nyingi ila bado unarudi kwenye ubora wa Messi kwa sababu anaweza kukupatia vyote hvyo,
Akakupa pasi ufunge goal na akafunga pia zaidi kutengeneza mashambulizi ya hatari yanayopelekea upatikanaji wa goal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.