Ukishakuwa mwanaSISIEMU, unabaki na akili ya kutofautisha chakula na mavi na za kuvukia barabara. Hawa jamaa ni takataka sana.
Imagine mtu hajui hata source ya mapato ya serikali.🙆♂️
We nd
o unaleta porojo, hyo reserve ya $ inatoka wapi...?
Ok mfano wanauza dhahabu, hyo dhahabu inatoka wapi kama sio kununuliwa na kodi za wananchi...?
Dubai ni mji wa kwenda kustarehe sio kutafuta pesa,
Labda kwa dada zetu wanaojiuza, hao waache wakazitafute coz ni moja ya starehe inayohitajika na wanaume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.