Nazipendaga sana qoute zake...
Kuna hii nyingine alisema
"Problems can never be solved by the same level of thinking that created them"
Matatizo hayawezi kutatuliwa kwa akili ile ile iliyozalisha matatizo hayo.....
Kikubwa ni kujizuia kupost vitu vitakavyowakwaza wengine moja kwa moja....kuanzia hapo sheria itakapoanza kutumika..
Sheria inakaza mtu kutiwa hatiani kwa tendo lolote ambalo wakati anafanya halikuandikwa kuwa ni kosa.......'mtu yeyote hapaswi kuhukumiwa kwa tendo lolote lile ambalo wakati...
Hii sheria itakosa mashiko..so itakosa uhalali wa kisheria wa kuwatuhumu na kuwatia hatiani washtakiwa
Nilishapata kusema humu ndani siku moja kuwa ili kosa lidhihirike kuwa ni kosa ni lazima basi pawepo na uhusiano kati ya "Mens rea" na "Actus reus"...hayo ni maneno ya kilatini...
Mens rea ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.