Recent content by HERBSAM16

  1. H

    Hivi unaweza kumlinganisha Ridhiwani Kikwete na Makongoro Nyerere?

    Makongoro ni lofa mwenzetu. .sema hajijui..mabwanyeye wananmtumia vibaya
  2. H

    Hivi unaweza kumlinganisha Ridhiwani Kikwete na Makongoro Nyerere?

    Makongoro hadi leo anaishi kwenye himaya alizoacha mwl jkn..
  3. H

    Hivi unaweza kumlinganisha Ridhiwani Kikwete na Makongoro Nyerere?

    Makongoro choka sana..hadi leo bado anaishi kwa mwalimu jkn
  4. H

    Miraj Kikwete: Mimi na dada yangu Salama hatumiliki Kampuni ya Simba trust

    Huu mfumo wa kiimla ambao umezoeleka na kuufanya ndo mfumo wa maisha ya kila siku mwisho mwaka huu
  5. H

    CCM: Tutajibu mapigo, hata sisi tunajua kuzomea

    Sasa wewe uko peke yako unazomea mafuriko
  6. H

    Alisema Albert Einstein mwaka 1950

    Nazipendaga sana qoute zake... Kuna hii nyingine alisema "Problems can never be solved by the same level of thinking that created them" Matatizo hayawezi kutatuliwa kwa akili ile ile iliyozalisha matatizo hayo.....
  7. H

    Alisema Albert Einstein mwaka 1950

    Alishasemaga pia " The highest level of madness is keeping on doing the same thing in the same way then expecting the different results"
  8. H

    Dr. Slaa is officially jobless

    Hujui unachoongea
  9. H

    Chadema hii sasa sifa!

    Wamepanic
  10. H

    Nape: wingi wa watu sio wingi wa kura

    Amepanic bro
  11. H

    Nimeota CCM inashinda Uchaguzi - Safari ya ndoto

    Siku ukiota umekuwa wakike itakuajee
  12. H

    Cyber law kuanza September Mosi

    Kikubwa ni kujizuia kupost vitu vitakavyowakwaza wengine moja kwa moja....kuanzia hapo sheria itakapoanza kutumika.. Sheria inakaza mtu kutiwa hatiani kwa tendo lolote ambalo wakati anafanya halikuandikwa kuwa ni kosa.......'mtu yeyote hapaswi kuhukumiwa kwa tendo lolote lile ambalo wakati...
  13. H

    Cyber law kuanza September Mosi

    Hii sheria itakosa mashiko..so itakosa uhalali wa kisheria wa kuwatuhumu na kuwatia hatiani washtakiwa Nilishapata kusema humu ndani siku moja kuwa ili kosa lidhihirike kuwa ni kosa ni lazima basi pawepo na uhusiano kati ya "Mens rea" na "Actus reus"...hayo ni maneno ya kilatini... Mens rea ni...
  14. H

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    Hao jamaa siwapendagi..tulupowapenda kipindi kile wakavimba kichwa...sasa tutawasusa kama tbc
Back
Top Bottom